ngoma inogileNakumbuka hata wtoto wa mwalimu walimshutumu dr Mwakyusa live kuwa alichangia kifo cha baba yao baada ya hapo uwaziri...... something is very wrong!!
Wana JF leo katika viwanja vinne tofauti vya kampeni Mbunge wa Musoma Mjini ambae ndie Meneja Kampeni wa Arumeru Mashariki(Vincent Nyerere) amemjibu Mkapa kuwa.
Aache unafiki wa siasa kwani ana Siri nzito juu yake ambayo ni muda muafaka sasa kwa Watanzania kuijua,na kudai kuwa yeye si mtoto wa Julius Nyerere kama anavyopotosha Mkapa ila ni wa Josephat Nyerere
Josephat na Julius ni mtu na Mdogo wake(kama hataki ajinyonge) huku akishangiliwa na umati mkubwa Sana uliohudhuria katika viwanja vya mkuytano uliofanyika Sing'si alimtaka Mkapa ajibu na aweke wazi juu ya Kifo cha baba wa Taifa aliyeondoka Butiama akiwa Mzima aliyekwenda tu kupima Afya na kurudi Mfu,huku umati ukipiga Mayowe kwa kushangilia,alitaka aweke wazi kilichomuua baba wa Taifa huku akimwaga Hadharani tofauti zilizojitokeza na Ugomvi kati yake na Mwalimu kilichopelekea Mkapa kuamua na kulazmisha mwalimu apelekwe London kutibiwa(kuuwawa) huku Nyuma akimyamazisha Daktari wa Mwalimu kwa kumpa Uwaziri ili asiseme kilichotokea.
Na alisema ilikuwaje Mkapa ataje Ugonjwa wa mwalimu ili hali Daktari wake yupo?alihoji, amemwaga vitu vingi ambavyo kwa kweli vitaleta Maswali Mengi juu ya wananchi wa Tanzania na dunia kwa ujumlaa...
Nikiripoti kutoka Uwanja wa Mapambano wa Arumeru ni mimi Mgosi Mgeni wenu wa jamii Forums
Mzee Mkapa, achana na vijana hawa huwawezi!! Watakuvua nguo mbele ya Mama mkwe!!
Si unajua haka ka ishu kalivyo? Kumbuka mara yakwanza ulivoenda kumshauri Mwalimu majibu aliyokupa, ukaona haitoshi ukamualika Magogoni Mzee akagoma kuja ikabidi uagize watu ili kumshawishi? Mwalimu akahoji "afya yangu Rais Mkapa inamnyima nini?" Na majibu mengine ambayo watumwa wako waliona aibu kukueleza!! Baada ya hapo....si uanakumbuka lakini?
I 'll be back.
Mkubwa, kama yaliongelewa kwenye kampeni, unadhani ni siri?Hivi kuna gazeti/magazeti 'yamethubutu' kuandika habari hii?
ni daktari gani huyo aliyenyamazishwa kwa kupewa uwaziri?
Hapa kuna dots za kuunganisha! Endelea mkuu...