EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Itabidi tukumbushane ili tuwekane sawa.
what i remember,is nilikuwa south africa wakati mwalimu anakufa, na is truth, nilishuhudia pat ya watu kujipongeza mahala kwa kugongeana glas mbaya, nilishangaa sana baadaye ndiyo nikajagutuka ohooooooooo,mmojawapa ni yule jamaa anayesimamia shughuli za uchimbaji wa tanzanite ya wasouthafrika kule arusha
Kansa aliyopandikiziwa JKN aliipata through toilet paper south africa! walio-initiate na ni UWT !!! baada ya kupata go ahead ya watu wazito walio nje ya nchi hii, they tried several time to poisson him through food, they failed!
Nyerere alikuwa mwiba kwenye globalization though alikuwa dictator kwenye demokrasia!