Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

Itabidi tukumbushane ili tuwekane sawa.
what i remember,is nilikuwa south africa wakati mwalimu anakufa, na is truth, nilishuhudia pat ya watu kujipongeza mahala kwa kugongeana glas mbaya, nilishangaa sana baadaye ndiyo nikajagutuka ohooooooooo,mmojawapa ni yule jamaa anayesimamia shughuli za uchimbaji wa tanzanite ya wasouthafrika kule arusha

Kansa aliyopandikiziwa JKN aliipata through toilet paper south africa! walio-initiate na ni UWT !!! baada ya kupata go ahead ya watu wazito walio nje ya nchi hii, they tried several time to poisson him through food, they failed!

Nyerere alikuwa mwiba kwenye globalization though alikuwa dictator kwenye demokrasia!
 
Kila siku huwa nasema halitasalia jiwe juu ya jiwe. Malipo ya waovu ni hapa hapa duniani. Mzee Mkapa ana ubabe sana ngoja abiduliwe tu. Na hao watu wanaotanguliza wenzao hawakufa mapema ili maovu yao yashudiwe na watukuu zao nao wakiwa hai wawalaumu.
 
Huyu kijana anachafua jina la nyerere, Mchongo hakuwa mnafiki.
 
Mkapa usimungunye maneno!
Katiza kampeni nenda MAHAKAMANI!
Mahakama pekee ndiyo itakayo kusafisha, zaidi ya hilo VN Kasema kweli!
 
Wanasiasa ni watu wa ajabu sana,Chadema inawapasa kutoa sera za kusaidia maisha ya wananchi V.Nyerere analeta siasa za maji taka..achana na Mkapa tuambiane sera za kuwasaidia Wana-Arumeru
Sera atazitoa Nassari, Vincent ni kampeni meneja kama alivyo Mwigulu wao ni kusawazisha mambo kama haya. Ukiwa kwenye nyumba ya vioo usiwe wa kwanza kurusha jiwe watu huwa hamuuelewi msemo huu.
 
iwe ni kweli ama si kweli...tayari ni doa ambalo kulisafisha ni vigumu..vicent na makamanda wengine hilo liacheni endeleeni na kumwaga sera.asiyeridhika aende mahakamani
Huyu mzee angekuwa lushoto anapunga upepo kwenye mapassion yasingemkuta haya
Binafsi nilikereka sana aliposema wapinzani ni wajinga na hawana adabu,kimsingi aliwatukana wana jf walipojadili ushiriki wake ktk uzinduzi wa kamoeni za Arumeru
 
Keil,

Hizi habari zimenipita sana mwenzio kushoto. Nafikiri kwa sababu ya kukaa sana Sikonge tangu nilipomaliza JKT. Mengi yanayotokea Dar kwa kweli ni kusoma hapa JF, kwenye mitandao au nikiongea na Mtanzania.

Hii habari sijawahi kuisikia kabisa na kwa kweli imenishangaza mno. Nakumbuka kuangalia mazishi ya Nyerere kwenye BBC na CNN na kumuona hadi Mama Clinton akija Tanzania. Sikutegemea kuwa Mkapa atakuwa mkatili namna hiyo na mtu aliyeweka pesa mbele hadi kumtanguliza Mwalimu wake na mtu aliyemuweka madarakani.

Nakubaliana na wewe kuwa Dr. Slaa au Mbowe au Zitto, wampige STOP huyu V. Nyerere na hii habari asiiongelee tena. Kama sumu kashatema na mengine acha yaanze kushuka kwa gravitation force.

Ngoja nilale na asubuhi ntaamkia hapa kuifuatilia zaidi kama haitafutwa.

Dr slaw,Freeman mbowe ,Zitto..na Kamati kuu ya Chadema......hili bomu alilorusha....Vincent ni stahili na ni la maangamizi....kimkakati mabomu ya maangamizi hayarushwi mengi...]

Imetosha kwa jibu alilotoa ...wakati ccm wanatafutana.....Chadema wassiongelee tena suala hili .....wakate mbuga kuongelea sera Zao.....hii itaepusha kampeni hizi kujaa smare campaigns ...
 
aisee, Mkapa atakuja kufa kifo kibaya. Ametenda dhambi ambayo dunia nzima hawatamsamehe.Kumbe familia ya mwalimu ni wavumilivu sana.Wameamua kuumia wakati muuaji wanamjua.Tunashukuru kuwepo uchaguzi Arumeru hili la Mkapa kumuua mwalimu tungelijuaje.Majonzi ya watanzania yameanza upya.Mwenyezi Mungu atutie nguvu.
 
Nasikia kuwa Prof. David mwakyusa ndo Alikuwa Dr. Wa mwalimu? So huenda anajua kuna uzi unaendelea, lkn huu ni tofauti kidogo, maneno yamezuka arumeru, kazusha v.nyerere kuwa mwl. Aliuliwa na yeye kupoozwa na uwaziri. Nadhan Dr. Wake anautaalamu Zaidi na anaweza kutupa ABCs,
 
Hapa mzee wa ubinafsishaji analo,,,, ndo maana kabinafsisha rasimali zetu nying bila kuangalia masilahi ya wananchi.
 
demokrasia inakua, zamani ukimjibu ex president au mkuu yoyote tu hata wa wilaya hivi utakiona cha moto
 
Jana nimeamini watu wa sing'isi wamechoshwa na magamba Nassari alinyanyuliwa juu wakati akina mama wakimeru ambao awajapewa khaga wala vitege wakiimba Nasari wetu uko wapi?
 
Mshaurini Vicent Nyerere aachane na hizo siasa. Hoja kuu ambayo alitakiwa kuisimamia ni kwamba Vicent Nyerere hajawahi ku-claim mahali popote pale kwamba yeye ni mtoto wa Marehemu Mwalimu Nyerere. Kwa hiyo, claim ya Mkapa ilikuwa baseless na haiwezi ku-hold maji na hizo ndio siasa za maji taka, watu wanaacha hoja halafu wanakijita kwenye kuzua vijambo na vijimambo.

Discussion za chanzo cha kifo cha Mwalimu Nyerere kwa sasa haziwezi kuwasaidia CHADEMA ili washinde huko Arumeru Mashariki. Mjadala huo kwa sasa hauna msaada wowote kwa wananchi wa Arumeru ambao wana matatizo ya Ardhi na Maji, pamoja kukosekana kwa ajira kwa vijana.

Focus ya Kampeni ya CHADEMA iwe ni kwenye kero za wananchi wa Arumeru. Ili kumgonga vilivyo Mkapa na Chama chake, matatizo ya maji na ardhi hayajaanza leo wala juzi, yapo kwa miaka mingi sasa. Je, Mkapa akiwa Rais ina maana hakuyajua hayo matatizo, kama aliyajua, kwanini hakuyashughulikia? Kikwete yuko madarakani mwaka wa 7 sasa, je hajapelekewa hayo matatizo au hajui hayo matatizo? Je, wananchi watakuwaje na imani kwamba Mkapa akienda kumwambia Kikwete matatizo ya maji na adhi atayatatua na ilihali amekuwa madarakani kwa miaka 7 na matatizo yako pale pale?

Iwapo Mzee Sumari (RIP) alishindwa kusaidia kutatua matatizo ya Arumeru Mashariki akiwa Naibu Waziri wa Fedha (sehemu ya serikali ya chama tawala), je leo hii mwanae ndio ataweza kuyatatua? CCM kimebaki kuwa ni chama cha kuweka ahadi hewa bila kutimiza. Hapo ndio CHADEMA inatakiwa kusimamia kwa kuwa ndo ukweli wenyewe na wananchi wanajionea. Wakumbusheni kwamba hata Igunga ambako CCM walishinda uchaguzi mdogo, zile ahadi zote za CCM zilizotolewa kwa wana Igunga ikiwemo ya kujengewa daraja hazijatimizwa hata moja!

Baba, mwanzo umeongea ukweli kuhusu mkapa kupotoka ....
Lakini ukaanza kuongea uongo kusu Vicent na CDM kuwa eti wwasjibu hoja za kijinga za CCM na wao wasichomeke vitu vyao...ili kuwaathiri kimkakati CCM.....
Acha bwana siasa za hivyo hata marekani zipo.......!
 
Back
Top Bottom