Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,786
- 13,569
Sea Cliff,Sleep way ama Sawa sawa bay zamani ikiitwa mbalamwezi.Hivi kwa dar salaam mahala gani kwa muda wa usiku waweza kwenda enjoy mazingira ya bahari??
Sea Cliff,Sleep way ama Sawa sawa bay zamani ikiitwa mbalamwezi.Hivi kwa dar salaam mahala gani kwa muda wa usiku waweza kwenda enjoy mazingira ya bahari??
Kutengeneza picha ya vitu navyotamani kuwa navyo au maisha.. Hali hii hata Mimi hunifariji sanaNilikuwa nakaa karibu na nimpendae ni mwangalie tu Ata kama sina cha kumwambia (bahati mbaya sahv hayupo tena)
Najiongelesha naweza kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe au kujipigisha story kama vile tupo wengi kumbe nipo peke yangu.
Natengeneza picha kichwani ya maisha niliyo/ninayo Taman siku moja kuwa nayo kuanzia nina mke, watoto had ninapo kufa. Najionaga nipo kwenye ulimwengu mwingine kabisa
Duh na mchana hii nilivyoona mishakaki kamate kakanishika1.Kutembelea mji ambao zilizaliwa na kukulia,hunikumbusha mbali sana na kunipa amani.
2.Kusafiri Abroad,hunipa amani na kujiona nipo Dunia nyingine kabisa,
3.Kua na nimpendae.
4.Kula mishikaki iliyokolea Pilipili.
Natumaini juma pili hii uta relax kama nakuona vile na chupa pembenKijitabia cha kunywa Heineken au windhoek halafu kwa mbali napiga grants na relax sn sn
DuuhKuvuja vyombo jamii ya glass nikiwa na hasira huwa nina chupa zangu hapa nazivunjaa na hasira huisha, pia kukaa baharini mida ya usiku hasa ninapokua na stress
Inspirational1. Kutembelea eneo kama mlimani city wale watu naowaona pale huwa najipa hope kwamba ipo siku soon na mimi ntatoboa ni suala la kukaza tu
2. Kusikiliza ala hasa za piano, guitar, violin, trumpet nk zile huwa huwa zinahamisha kabisa akili
3. Kwenda eneo la umma hasa sokoni kuona hustling za watu mbali mbali..
Hii ya porini nakuamini. Kama uliweza kuua chatu kwa mikono yako Mimi Nani nipinge1.napenda kusafiri huku nikiwa nimeshika simu nacheck jf
2.Napenda kutembelea sana sehemu zenye pori na wanyama muda mwingine
Aaaah hahaha usijal mkuusio kwangu tu, popote niendapo....(usinikaribishe kwako lakini)
MotivationalNilikuwa nakaa karibu na nimpendae ni mwangalie tu Ata kama sina cha kumwambia (bahati mbaya sahv hayupo tena)
Najiongelesha naweza kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe au kujipigisha story kama vile tupo wengi kumbe nipo peke yangu.
Natengeneza picha kichwani ya maisha niliyo/ninayo Taman siku moja kuwa nayo kuanzia nina mke, watoto had ninapo kufa. Najionaga nipo kwenye ulimwengu mwingine kabisa
1.napenda kusafiri huku nikiwa nimeshika simu nacheck jf
2.Napenda kutembelea sana sehemu zenye pori na wanyama muda mwingine
NiceeeeKukaa na mwanamke wangu sehemu tusiyojulikana kabsa tutembee, tule ,tunywe na kununua nunua vitu ovyo ovyo
True To Self.Hakuna kitu ninacho kipenda kama kukaa peke yangu, kulala na lala peke yangu yapo nimeoa, napenda kula na kunywa peke yangu, kazi hata iwe ngumu kiasi gani huwa naenda kufanya peke yangu, nilisha wahi kuezeka majengo mengi peke yangu, nilisha wahi kuchimba shimo la choo peke yangu, nilijenga peke yangu , nilifyatua tofali peke yangu, zege nilichanganya na kumwaga peke yangu, hata maji ya kujengea nilibeba peke yangu na baiskeli.
Yaani amani ninayopata nikiwa peke yangu au kufanya kitu chochote peke yangu ni kubwa mno, sijui ni kwa vile nimezaliwa peke yangu ?
Hahahahahahaha kweli JF ni entertainmentKunyambia mkononi na kunusa
Tunashare dna1. Kuangalia Maji ya mto yanavyotiririka Samaki au Dagaa wakiogelea.
2. Kunyeshewa na mvua.
Hii nilikuwa napenda wakati nasoma nikirudi kutoka Chuo.
3. Kaundika andika,
Iwe wazo zuri au baya, Kwa siku sio ajabu nikaandika kurasa hamsini.
4. Kuongea na wanyama na kujiongelesha
Mzee unanikumbusha 2016 nikichimba kisima cha futi 40 peke yangu,nilipiga plast nyumba nzima pekee yangu,napenda kujenga jenga ovyo tuna fanana mkuuHakuna kitu ninacho kipenda kama kukaa peke yangu, kulala na lala peke yangu yapo nimeoa, napenda kula na kunywa peke yangu, kazi hata iwe ngumu kiasi gani huwa naenda kufanya peke yangu, nilisha wahi kuezeka majengo mengi peke yangu, nilisha wahi kuchimba shimo la choo peke yangu, nilijenga peke yangu , nilifyatua tofali peke yangu, zege nilichanganya na kumwaga peke yangu, hata maji ya kujengea nilibeba peke yangu na baiskeli.
Yaani amani ninayopata nikiwa peke yangu au kufanya kitu chochote peke yangu ni kubwa mno, sijui ni kwa vile nimezaliwa peke yangu ?
Nakumbuka nilikuwaga naenda ile beach iliopo mbezi africana kule chini kama unashuka kwa zenaHivi kwa dar salaam mahala gani kwa muda wa usiku waweza kwenda enjoy mazingira ya bahari??