Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,758
ama kweli lowasa kaamuwa kuwa mtoto mzuri kuwakopesha vijana wa jimbo lake mikopo ya 'riba nafuu'. bila shaka nae kakopa toka benki baada ya kuwaonea vijana wake uchungu wa mwana. dah! 2010 iko karibu!