JOASH MUSSA
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 515
- 199
Chris Lukosi
Naipenda Tanzania, nyumbani ni Tanzania CCM sio nyumbani na kamwe hapawezi kuwa nyumbani, wanaoiita CCM ni nyumbani ndio wanafanya ufisadi na kuuza meno ya Tembo, (Katibu Mkuu wa CCM anahusika) ndio wanaoiingiza Tanzania kwenye mikataba mibovu kama anayoingia Mwenyekiti wa CCM Taifa Jakaya Kikwete, ndio waliosababisha waTanzania wa Bulyanhulu wazikwe hai ili kunufaisha 'Nyumbani' CCM huku nyumbani kwangu mimi Tanzania kukiteketea
Kamwe sitakubali, na nitaunga mkono harakati zozote zitakazoiletea matumaini na neema Tanzania yangu, siko tayari kujiingiza kwenye mkenge wa CCM, CCM sio Tanzania
Ni roho za ajabu walizo nazo wana CCM, wengi wamejawa na roho za woga na kinafki,
1) Horace Kolimba - CCM inanuka na imeoza
2) JK Nyerere - CCM sio mama yangu
Huyu anayepaita 'CCM nyumbani' namsikitikia yeye na familia yake!
Joash R. Mussa
Naipenda Tanzania, nyumbani ni Tanzania CCM sio nyumbani na kamwe hapawezi kuwa nyumbani, wanaoiita CCM ni nyumbani ndio wanafanya ufisadi na kuuza meno ya Tembo, (Katibu Mkuu wa CCM anahusika) ndio wanaoiingiza Tanzania kwenye mikataba mibovu kama anayoingia Mwenyekiti wa CCM Taifa Jakaya Kikwete, ndio waliosababisha waTanzania wa Bulyanhulu wazikwe hai ili kunufaisha 'Nyumbani' CCM huku nyumbani kwangu mimi Tanzania kukiteketea
Kamwe sitakubali, na nitaunga mkono harakati zozote zitakazoiletea matumaini na neema Tanzania yangu, siko tayari kujiingiza kwenye mkenge wa CCM, CCM sio Tanzania
Ni roho za ajabu walizo nazo wana CCM, wengi wamejawa na roho za woga na kinafki,
1) Horace Kolimba - CCM inanuka na imeoza
2) JK Nyerere - CCM sio mama yangu
Huyu anayepaita 'CCM nyumbani' namsikitikia yeye na familia yake!
Joash R. Mussa
Last edited by a moderator: