Vijana acheni pombe, kwenye pombe ni fedheha

Mkuu pitia hata izo tafsiri uone jinsi Muumba wetu anavotupenda kuliko sisi tunavojipenda

( يَسْأَلُونَكَ عَنِ الْخَمْرِ وَالْمَيْسِرِ ۖ قُلْ فِيهِمَا إِثْمٌ كَبِيرٌ وَمَنَافِعُ لِلنَّاسِ وَإِثْمُهُمَا أَكْبَرُ مِن نَّفْعِهِمَا ۗ وَيَسْأَلُونَكَ مَاذَا يُنفِقُونَ قُلِ الْعَفْوَ ۗ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمُ الْآيَاتِ لَعَلَّكُمْ تَتَفَكَّرُونَ )

البقرة (219) Al-Baqara

Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa na manufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Na wanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri--


( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )

المائدة (90) Al-Maaida

Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.



( إِنَّمَا يُرِيدُ الشَّيْطَانُ أَن يُوقِعَ بَيْنَكُمُ الْعَدَاوَةَ وَالْبَغْضَاءَ فِي الْخَمْرِ وَالْمَيْسِرِ وَيَصُدَّكُمْ عَن ذِكْرِ اللَّهِ وَعَنِ الصَّلَاةِ ۖ فَهَلْ أَنتُم مُّنتَهُونَ )

المائدة (91) Al-Maaida

Hakika Shet'ani anataka kutia kati yenu uadui na chuki kwa ulevi na kamari, na akuzuieni kumkumbuka Mwenyezi Mungu na kusali. Basi je, mmeacha?
"....na wanakuuliza watoe nini?" Nukuu.

Naomba ufafanuzi happ
 
Wale wasioweza kunywa kistaarabu ndo dhahama kama hizi za mleta mada zinawakumba, vinginevyo pombe sawa na bangi vinaathiri watu kwa njia tofauti tofauti kulingana na level za ukichaa walizonazo......
Hakuna bingwa wa pombe.

Usidanganye watu. Jamaniee Kuna watu wamekunywa pombe lkn mwisho wao si mzuri niaminini mimi.

Wapo watu wamekunywa pombe za million 40 chupa Moja. Wapo waliokunywa mataputapu na kuinshia pabaya.

Sikuwahi kuona aliyepona labda aliye acha. Ukiacha ndio pona ponayako. Waliotayar kuacha acheni.


Nikisema ova jua nimemaliza
 
Mithali 31:5-6
Mpe kileo yeye alie karibu na kupotea, mpe divai yeye alie na uchungu nafsini, anywe akausahau umasikini wake na asiikumbuke tena tabu yake.

Watumishi wa Mungu tuseme Amen.
 
Hakuna bingwa wa pombe.

Usidanganye watu. Jamaniee Kuna watu wamekunywa pombe lkn mwisho wao si mzuri niaminini mimi.

Wapo watu wamekunywa pombe za million 40 chupa Moja. Wapo waliokunywa mataputapu na kuinshia pabaya.

Sikuwahi kuona aliyepona labda aliye acha. Ukiacha ndio pona ponayako. Waliotayar kuacha acheni.


Nikisema ova jua nimemaliza
Mkuu pombe ni sehemu ya tamaduni za watu kwenye upande wa vyakula na vinywaji, kitu chochote ukizidisha kiwango hata kama ni ugali lazima kikuathiri tu.
 
Wiki 2 zilizopita nilikuwa tungi, kuna dada akawa anatafuta hela kwenye ziwa lake akawa haioni. Nikasema nimsaidie kutafuta, nilipomshika nikampagawisha kiasi, akasema si bora nimnyonye kidogo! Nikamnyonya kweli kama dakika 1 Hivi.
Japo ilikuwa usiku nilijidhalilisha, kuna watu wananiheshimu waliniona na wakaambizana baadaye.
Siku ya pili wananambia hata wewe!

Sasa hivi nimerejea utaratibu wa awali, hakuna kunywea bia mtaani ni mbali tu.
 
Tayar ushauita.
"Unywaji pombe uliokithiri"

Chochote kile ukizidisha hata iwe soda au maji lazima madhara upate
 
Siku niliyoanguka na gari mtaloni nikiwa chakali ndio siku niliacha kupiga masanga
Ilinitokea hii last month gari matairi juu saa nane hiyo nilisinzia naendesha nikavunja taa na shockup sasa hivi nanywea nyumbani nikilewa siendeshi napanda pikipiki
 
Wiki 2 zilizopita nilikuwa tungi, kuna dada akawa anatafuta hela kwenye ziwa lake akawa haioni. Nikasema nimsaidie kutafuta, nilipomshika nikampagawisha kiasi, akasema si bora nimnyonye kidogo! Nikamnyonya kweli kama dakika 1 Hivi.
Japo ilikuwa usiku nilijidhalilisha, kuna watu wananiheshimu waliniona na wakaambizana baadaye.
Siku ya pili wananambia hata wewe!

Sasa hivi nimerejea utaratibu wa awali, hakuna kunywea bia mtaani ni mbali tu.
 
Mimi nililewa nikaenda kuwatukana ofisini....kiki chotokea Mungu ndio anajua, pombe sio nzuri hata kidogo
 
Pombe
Bangi
Wanawake

Hizi ni starehe za Masikini wa fikra na wachafu wa kiroho na Mwili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom