likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,072
NINI LENGO LA UZI? KWANZA NCH YETU HAITAMBUI RAIA PACHA, kwa hyo ni uchonganish
Mimi nina uraia wa mbeya na ifakara ,huku raisi wetu anajulikanaNa mimi nna uraia wa Ruanda na Zanzibar.
Kweli wewe NYERERE HUTAMSAHAU KABISA . HONGERANiuwachie tena, hivi tu niko bongo lakini inabidi ubalozi wanipigie simu kila mwezi kuniuliza kama nnashida yoyote. Niyaachie ma privilege kibao kisa nini? Kwani mie nilienda kucheza kule? Nilienda kutafuta maisha bora ambayo Nyerere alishindwa kunipa, na kweli nimefaidika, nashkuru AlhamduliLlah.
Wengi tu hapa wana uraia wa nchi za nje na si wa Tanzania tu. Sio kuwa hatuipendi nchi yetu, la hasha, ni maslahi. Hapa kwetu nani atakulipia nyumba, matibabu, mshahara, transport, kama huna kazi? Lakini leo si haba.
Mimi nina tatu, Tanganyika, Zanzibari na TanzaniaMheshimiwa FaizaFoxy ana wa Tanganyika na Tanzania.
Watu hamna dogo
Mkuu kumbe we mkongwe? Vipi harakati za pombeSi ungeweka na ushahidi huwezi kusema tu watu wakuamini JF sio sehemu ya porojo weka Facts za kutosha!
hahaha, unamaanisha kule alikoishi....afghanistan, iraq au saudia? manake huwa nahisi huyu dada (kama ni dada kweli) ana uraia wa ISIS.Kule ulikoishi zaidi ya miaka 30 hukuuchangamkia uraia wa kule?
hahaha, unamaanisha kule alikoishi....afghanistan, iraq au saudia? manake huwa nahisi huyu dada (kama ni dada kweli) ana uraia wa ISIS.
Mbona bado hujamalizia orodha maana kuna mmoja ni pandikiziWana Jf
katika kufatilia baadhi ya mambo nimepata kufahamu yafuatayo
(1)Mh sugu Ana uraia wa Tz na USA
(2)Mh Membe Ana urai wa Tz na Canada
(3)Mh Letecia Nyerere Ana uraia wa Tz na USA
(4)Mh Nyalandu Ana uarai wa Tz na USA
wana Jf Uchunguzi unaendelea Kama mnataatifa zaidi mnaweza kutoa Kama mnawafahamu wengine ongezea list
Katiba ipi iliruhusu??uraia nchi mbili ulisharuhusiwa wewe!
Dah, uzi wa kitambo sana, nilikuwa hata siijui jf.Wana Jf
katika kufatilia baadhi ya mambo nimepata kufahamu yafuatayo
(1)Mh sugu Ana uraia wa Tz na USA
(2)Mh Membe Ana urai wa Tz na Canada
(3)Mh Letecia Nyerere Ana uraia wa Tz na USA
(4)Mh Nyalandu Ana uarai wa Tz na USA
wana Jf Uchunguzi unaendelea Kama mnataatifa zaidi mnaweza kutoa Kama mnawafahamu wengine ongezea list