Habari za Kiinteligensia na za kuaminika zinasema viongozi wafuatao walienda mapema sana kwa Mch. Loliondo kunywa dawa,
1. JK na first lady, ndo maana siku hizi haanguki, alienda January,
2. Edward Lowasa.
3. Generali Mwamunyange
4. Bernard Membe
5. Magufuli
6. Mizengo Pinda,
Na wengine wengi tu.
SWALA kubwa hapa ni kwamba, hawa viongozi wote wametibiwa, na kuna waliotoa ushuhuda kuwa wamepona, sasa kwanini wizara ya afya inamkataza mch. asitoe huduma, wakati huduma yake inaponyesha kweli, hawa viongozi wakuu kwanini wasimsaidie mzee kurekebisha mazingira ya kufanyia kazi yake vizuri ili na wengine wapate huduma yake kama wao walivopata. Badala yake wizara ya afya imesimamisha huduma bila kujali kwamba wanawanyima watu wengine huduma ya kupona pia.
Kuna habari kwamba kuna meli ya wahindi na waarabu wanakuja kwa Babu kutibiwa, sasa si ingelikuwa ndia wakati mzuri kwa Waziri wa Utalii kumuwezesha Babu, kwani kutalii sio kuona wanyama pori tuu, masomo na matibabu is part of it.
mchungaji anatakiwa kusajili maombi, kazi itaendelea tu . . .
jesuit wewe ni shoga na ndio maana kila chenye maana kwa jamii unapinga sasa 2takutongoza ili 2one kama utakataa au utakubali.?
wewe nitakuaminiKuna Nesi.muuguzi wa Afya katoa ushuhuda leo asubuhi.Pia wako wafanyakazi wa serikali kadhaa wametoroka makazini kufuata dawa Loliondo.
Babu Mchungaji angesaidiwa kwa kuwekewa mazingira mazuri ili afidie pengo lililopo kwenye huduma za Afya nchini.
Badala ya kusimamisha huduma, kwa nini wizara ya afya isimsaidie Babu kwa kuweka mazingira mazuri ili kuepusha magonjwa ya kuripuka? Kusimamisha huduma ndiyo solution?Hao uliowataja huenda wametibiwa kabla ya sasa ambapo kumefurika watu ile mbaya na hakuna huduma nzuri za Afya hivyo panaweza kutokea magonjwa ya kuharisha na kutapika au kipindipindu na kuleta madhara makuwa zaidi!!! hivyo ni sawa Wizara husika kusimamisha huduma hiyo huko porini!!!
Jamani issue zingine tutumie akili zetu na tuache ushabiki na chuki binafsi!!!!
Huu ni utoto wa hali ya juu na kusema ukweli ni kushu sha hadhi ya hii forum. Let's put politics aside and respect other's privacy, period! Afterall, they have done the right thing.