Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Mi sishauri kulaumu serikali. Zingatia kwamba serikali imesimamisha huduma ili foleni ipungue. Ni kama traffic police kwenye mataa, hazuii, anapunguza foleni.
Kumbuka serikali imetoa magari ya kwenda msituni kuchimba dawa,jana nimeona STK 1045 Defender imejaa mizizi ikhtokea msituni kwenda kwa mchungaji. Na tangu juzi huduma imeongeza, na kila siku wanachimba vyoo 10. Mh. Philemon ndesambulo mbunge wa Moshi ametoa helikopta ya kusafirisha wagonjwa.
Pia Mh.Rais alimshauri mchungaji ahamie kituo kama muhimbili,yeye ndo akawaambia Mungu amemuelekeza kuwa watu waifuate aliko. Tuvute subira na nashauri mada hii isijadiliwe kisiasa. Tupo pamoja.
Kumbuka serikali imetoa magari ya kwenda msituni kuchimba dawa,jana nimeona STK 1045 Defender imejaa mizizi ikhtokea msituni kwenda kwa mchungaji. Na tangu juzi huduma imeongeza, na kila siku wanachimba vyoo 10. Mh. Philemon ndesambulo mbunge wa Moshi ametoa helikopta ya kusafirisha wagonjwa.
Pia Mh.Rais alimshauri mchungaji ahamie kituo kama muhimbili,yeye ndo akawaambia Mungu amemuelekeza kuwa watu waifuate aliko. Tuvute subira na nashauri mada hii isijadiliwe kisiasa. Tupo pamoja.