Kaka twnsend mimi nipo shytwn walokwapua kodi zetu wapo gelezan had sasa hv kwa kukosa dhamana, but je mahakama itawafunga au nh danganya toto tu kwa watz il wasahau?
mchezo mwingine huo wa kuigiza hawatafanywa lolote mpaka jk au ccm itoke madarakani..kwani wale walioiba billions kule kishapu walifanywa nini? zaidi ya maneno