myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 149,157
- 661,771
Mh....Zumarid alidai mwaka jana atamrejesha Kanumba hadi alimualika mama Kanumba kanisani kwake.
Kanumba yupo jela ya ulimwengu usioonekana kwa kukiuka masharti, zumarid atawezaje kumtoa kumtoa jela.