Mimi nataka kujua tu, watu wa Zanzibar wanaonewa na nani na wanaonewa kivipi?
Vilevile mkishapewa Zanzibar ika nchi nini mtakachofanya ktk hiyo nchi yenu au mtakachodai tena(What next) ktk maisha yenu ya nchi yenu ya Zanzibar
Comments za hawa wanaotaka muungano uvunjike hapa ni sawa kabisa na Mr Jacobo katika kitabu "Weep Not Child" ambaye alikuwa anaamini katika "uwezo uliotukuka wa mkoloni kwamba bila watu kama Mr Howlands future ilikuwa nyeusi". Nanyi mwaona bila mkoloni mwarabu Zanzibar haina future
Well said, namkubali kikamilifu Nyerere, namkubali pia Mzee Karume the supergenious who didn't go to school but left historic achievements that the so called "modern" scholars want to destroy. Tusidanganyane, madhara ya kuuvvnja muungano yatakuwa na impact kubwa na ya muda mrefu kabisa kwa bara na visiwani. Wazanzibari wanatumiwa kisiasa na maajenti wa Jamshid bila kujua. Tatizo ni vyombo vya inteligensia kuchakachuliwa hadi yote haya kutokea bila hata ya serikali kujua. CCM ya sasa itabeba lawama kwa yote yanayojiri.
Kweli ?
Ushahidi wa harakati hizi unafifisha ile dhana kongwe kwamba Muungano wa Tanzania ulifikiwa kwa hiari (bila shinikizo), ambapo inadaiwa kwa kupotosha kwamba Rais wa Tanganyika, Julius Kambarage Nyerere alipendekeza suala la Muungano kwa Rais wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume, naye bila kusita, akakubali na akapendekeza Mwalimu Nyerere awe Rais wa Muungano huo.
Dhana hii inapingana pia na ukweli kwamba, wiki chache tu baada ya Mapinduzi ya Januari 12, 1964, Serikali ya Tanganyika iliwatuma Waziri wake wa Mambo ya Nje na Ulinzi, Oscar Kambona na Bibi Titi Mohamed, Naibu Waziri na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama tawala cha "Tanganyika African National Union" (TANU), kumshawishi Karume akubali Muungano kati ya nchi zao mbili, lakini Karume alidai alihitaji muda zaidi kufikiri juu ya jambo hilo.
Kama ni kweli kwamba Karume ndiye aliyependekeza Muungano, ilikuwaje awagomee mawaziri hao wawili waliotumwa na Mwalimu, na TANU?
Hata ule ujumbe wa pili uliowahusisha Mawaziri wa Tanganyika, Tewa Said Tewa na Job Lusinde, Februari 9, 1964, haukuweza kumgeuza mawazo Karume akubali haraka suala la Muungano, ulipokwenda Zanzibar kuwasilisha ujumbe wa Nyerere siku hiyo.
HIvi inawezekana kulikuwa na mkono wa Sultani katika mauaji ya Karume?
Nafuatilia mjadala, lakini hadi sasa sijaona ulipojibu hoja kuu na zinazotambuka. Kusema wazanzibar wameamka na kutukana hakujibu hoja!Kichwa boga
Upuuzi mtupu. Kuna watu bado wana akili za kizamani.
Mzee sasa naona unapotea! Yani unajifanya hujui kuwa siasa za bara kuikamata Znz ndio kumeleteleza haya mauchafu? Mnalazimisha muungano ili dola ya kiislam isisimame Znz na sheria za kuzuia upumbavu kama huo kutumika. Mnang'ang'ania znz ili uislam usiendelee kwani ukiendelea ukristo hautakuwa na nafasi.
Sehemu ya ukweli ni kuwa Karume aliuliwa na Luteni Humud, shemeji yake mwenyewe, kwa madai kuwa Karume alishiriki katika mauaji ya baba yake Humud. Sasa ikiwa Humud alitumiwa na Nyerere au Jamshid hilo ni suala jengine.HIvi inawezekana kulikuwa na mkono wa Sultani katika mauaji ya Karume?
Mtu wa pwani;Hapa isisahauliwe kuwa kuna Watumbatu, Wadonge, Wamakunduchi, Wakojani, Wamicheweni...bila kusahau Wanyakyusa, Wamakonde, Wangazija, Wahindi....miongoni mwa wengine.wazanzibari toke asili hadi leo ni mchanganyiko wa watu na makabila mbali mbali. ikiwemo damu ya kiarabu na kimanaga ambayo unataka kuwaaaminisha watu kuwa hawana haki ya kupigania nchi yao
HIvi inawezekana kulikuwa na mkono wa Sultani katika mauaji ya Karume?
NI KWELI KWANI MKOLONI MWARABU NI HUYU HAPA Imani Petro - Mbinu za makafiri 3/8 - YouTube
MM Toka sakata la Uamsho lianze Viongozi walio mstari wa mbele hasa MA AMIRI/MAJEMEDARI ni wale wenye asili ya Kiarabu. Hao ndio wasemaji wakuu na ndio wenye Amri. Mmoja wao leo hii karudi toka Oman kwa kisingizio cha kutoka Hospitali! Mimi ninamashaka kuna makala hapa pia inatilia mashaka uhusiano wa Waarabu hawa (MA AMIRI) na conection ya Arabuni kwa jumla na Clip hiyo inamrudisha X Sultan Kwenye picha. Labda Vichwani mwao wanasema: Zimwi Likujualo..............! Time will tell.