(Video)Sultani wa Zanzibar alivyofurahia mauaji ya Karume; alitarajia kurudi Zanzibar?

Hii ya mwaka 1972. Kwi kwi kwi teh teh teh! 40 years, imagine sasa hivi yukoje!
 
mmj kumbe ww mpumbavu sana na una roho mbaya hasa kwa wazanzibari.

Wazanzibari wameamka na hizi choko choko za kuwagawa hutofanikiwa si ww wala wenzio uwe ukweli uuje.


Wazanzibari toke asili hadi leo ni mchanganyiko wa watu na makabila mbali mbali. Ikiwemo damu ya kiarabu na kimanaga ambayo unataka kuwaaaminisha watu kuwa hawana haki ya kupigania nchi yao


rais karume alieondoka mama yake mwarabu, salim ahmed baba yake mwarabu, mansour yussuf himid aliekuwa mweka hazina wa ccm (kama sikosei zanzibar) ni mwarabu damu ya kiarabu ina haki zanzibar na imo kwenye vyama vyote vya siasa vyenye maslahi zanzibar iwe ccm au cuf hata zamani iwe hizbu umma party au asp.

Fitna na choko choko zako hazibadili ukweli kuwa wazanzibar wanachotaka ni nchi yao, na wanahisi wanaonewa. Sema lugha tu zinatofautiana kutokana na chama au sehemu aliokuwepo. Ndani ya ccm si mara moja wala mbili wazanzibar wanatoa kauli ya kusema kuhusu muungano kutokuwa sawa akiwemo raza ( ambae ni mhindi), shamhuna ambae ni mshirazi, mwakilishi hamza aliekuwa waziri wa nchi, nassor moyo mwenye asili ya tanganyika ( lakini ni mzanzibari) aliekuwa waziri wa kwanza wa sheria ya jamhuri ya muungano. Aboud jumbe ( aliekuwa rais wa zanzibar na muasisis wa ccm). Na wengi wengine wamesema si mara moja juu ya muungano. Pia kwenye cuf na wao si mara moja wala mbili wameshapaza sauti zao kuhusu muungano huu.


Kwa hio hatudanganyiki wala hatugawiki wala hatuondoshwi kwenye pointi muhimu ya kudai haki yetu ambayo mnapambana kwa kila njia kuibana na mnatumia kila hila kutaka kutugawa


wazanzibari kwa vyovyote hawarudi nyuma hadi tupate nchi yetu

hata mimi nakubaliana na wewe fungasheni na ondokeni hakuna faida ya muungano zaidi ya kutapeliana tu
 
mbona unaendelea kujadiliana na fool??? hapo juu umeandika nini???

Matthew 5:21-22 (New International Version)

"You have heard that it was said to the people long ago, 'Do not murder, and anyone who murders will be subject to judgment.' But I tell you that anyone who is angry with his brother will be subject to judgment. Again, anyone who says to his brother, 'Raca,' is answerable to the Sanhedrin. But anyone who says, 'You fool!' will be in danger of the fire of hell.

Huyo Sultani analojua hilo?(kuwa he is a fool)
Kwa kujua ukweli, kuuona na bado yeye na vikaragosi vyake wanataka kuleta vurugu za usrabuni Zanzibar.
Now who is the fool here?
Greater fools go further, torching churches with religious zeal as you are tring to portray.
All this for the sake of a Principal Fool- The Blood stsined Sultan.
Ajabu ni kuwa sijui Kuran inakulezaje juu ya muungano na kuchoma makanisa!
And I can safely say itis fools who take their own failings in life upon others, no wonder you are busy quoting holy books to maintain your wrong perceptions about your own failures instead of WORK WORK WORK!
Anyway, be my guest my foolish friend.
 
Huyo Sultani analojua hilo?(kuwa he is a fool)
Kwa kujua ukweli, kuuona na bado yeye na vikaragosi vyake wanataka kuleta vurugu za usrabuni Zanzibar.
Now who is the fool here?
Greater fools go further, torching churches with religious zeal as you are tring to portray.
All this for the sake of a Principal Fool- The Blood stsined Sultan.
Ajabu ni kuwa sijui Kuran inakulezaje juu ya muungano na kuchoma makanisa!
And I can safely say itis fools who take their own failings in life upon others, no wonder you are busy quoting holy books to maintain your wrong perceptions about your own failures instead of WORK WORK WORK!
Anyway, be my guest my foolish friend.

NANI ALICHOMA MAKANISA AMKA WEWE USIDANGANYWE NA PROPAGANDA NA CRUSADE ZA MAGAZETI YA KANISA .

KAMA YANGALICHOMWA NA WAISILAMU YANGEANZWA KULE PEMBA WALIKOULIWA WAISILAMU

KWANI UNAFIKIRI WAISILAMU TU HAWAUTAKI MUUNGANO HATA WAKRISTO PIA , AMKA


HEBU SOMA HIZI RIPOTI HAPA ANNUUR 116
 
Mzee Mwanakijiji.

Siku za hivi karibuni umekuwa unafanya siasa kama CCM, tena kwa ustadi na weledi.

Siku umma wa Tz utakapochoka kusikiliza propaganda za ki-CCM na kuzikubali kiulani watagundua kuwa unachokifanya sasa katika makala za karibuni kuhusu Muungano ni sawa na Mwalimu Nyerere kulia, kudondosha machozi kwa "huzuni" baada ya kuapata taarifa za kifo cha Sokoine.

Matukio ya Zanzibar yamekuparaganya na sasa unajaribu kuwababaisha wasomaji wako. MMJ una wafuasi wengi, wafuatiliaji wengi wa makala na michango yako watendee haki.

Ni nini lengo lako hasa kwa makala zako za hivi karibuni?

Je siku utakapopata ushahidi kuwa yale matukio ya Zanzibar yana mkono wa makada wa "Chai, Chapati, Maharage" na pia kuwa Polisi walisheheni uongo katika taarifa zao utarudi jukwaani na kuipa "tough" UAMSHO?


Mzee Mwanakijiji

Umeona mahojiano haya ? link » Blog Archive » Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar na uzi huu? Link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aya-mwisho-humuumbuwa-polisi-wa-zanzibar.html

Ukiweka pembeni weledi/ ustadi wa uandishi wa makala zako Mkuu, kwa matukio ya Zanzibar ulikurupuka kuwatupia lawama uamsho na kupelekea wasomaji wengi na wapenzi wako kukimbilia katika siasa za udini.

Ni wazi serikali na jeshi la polisi watajaribu kubambikizia watu kesi ili kufunika kombe lakini kuna mengi tutayasikia kuhusu mkono wa Chai Chapati Maharage, Polisi na makachero wanaotumika kutumikia siasa ya ung'ang'anizi wa madaraka.

Hapa unielewe kuwa sitetei kuwa UAMSHO au watu walioshiriki katika "matembezi", maandamano au mihadhara kuwa hawakufanya fujo. Hilo sijalihakikisha bado ila kwa uzoefu wa siasa za Tz na matukio ya siku za nyuma katika pembe zote za TZ ambayo Polisi hushiriki "kuzuia/ kuzima fujo au uvunjifu wa amani" basi huwa wao ndio waanzilishi wa hizo fujo. Ninalolisema hapa ni kuwa dadili zote zinaonesha kuwa UAMSHO hawana mkono katika uchomaji wa makanisa.

Msemo wa "tumepata habari za kiintelijensia" umekuwa maarufu katika kubinya siasa za upinzani/kipinzani.

Umeuwasha moto natumai utakuwa na vifaa vya kuuzimia pia. Tuendelee kuwaonesha wananchi/ wasomaji ukweli.
 
"Mwalimu Nyerere aliandika kitabu mwaka 1995 kinachoitwa ‘Uongozi wetu na hatima ya Tanzania', ambacho kilizungumzia sana tofauti zilizokuwa zinatokea katika muungano.

Akatahadharisha kwamba, haya matatizo yasipotafutiwa suluhisho mapema huko mbele tunakokwenda ni giza tupu, ikiwa hizi tofauti za kidini na kikabila zikiachwa ziwe kama zilivyo na akasema kwamba tutakuja kujuta, majuto ni mjukuu."anasema Lissu.

Anaongeza kuwa vurugu hizo siyo za kidini kama wanavyodhani watu wengi bali ni njia iliyotumika kufikisha ujumbe wa walalamikaji.

"Ukristo wa bara ulitokea Zanzibar. Makanisa ya kwanza Afrika Mashariki na kati yalijengwa Zanzibar karibu na soko la watumwa. Baada ya Zanzibar ndiyo yakaja, Bagamoyo na Rabai na sehemu nyingine. Si suala la kidini, ni hoja za kujishikiza tu, kuna masuala ya msingi yanayovishwa hoja za kidini."anasema Lissu.

Lissu pia anakumbushia chochoko kama hizo akisema kuwa ndiyo zilizomwondoa madarakani aliyekuwa Rais wa Zanzibar Aboud Jumbe mwaka 1984 na kushauri kuwwepo kwa mjadala kwa masuala ya msingi kama muungano.

Lissu anasema hoja ya muungano imeibuka sasa kutokana na mjadala wa Katiba uliopo jambo linaloendelea kuzua hofu kwa pande zote mbili.

"Katiba hii ya sasa hivi inasema unaweza kuvunja muungano ukipata theluthi mbili ya wabunge wa Zanzibar na theluthi mbili ya wabunge wa bara kama watakubaliana kwamba hawataki muungano. Lakini watawala wetu wanasema kuwa uwepo wa muungano siyo suala la mjadala.

Kwa nini siyo suala la mjadala, kuna kitu gani kinafichwa? Itakuwaje kama sisi wananchi wa Tanzania Bara na wananchi wa visiwani tunaomba kwamba huu muungano hauturidhishi?" anahoji na kuongeza,
"Ukishaanza kuziba watu wasijadili unafungua mlango wa watu kutumia njia nyingine. Mlango wa amani ukifungwa, mlango wa vurugu unafunguliwa."

Soma zaidi hapa Ukweli na uwazi utauweka huru muungano wa Tanganyika na Zanzibar
 
Back
Top Bottom