(Video)Sultani wa Zanzibar alivyofurahia mauaji ya Karume; alitarajia kurudi Zanzibar?

... I was delighted to hear that Karume was assassinated.... .

.... If my people want me, I'll certainly go...

[video=youtube_share;7kTuy1cY5GA]http://youtu.be/7kTuy1cY5GA[/video]


huyu jamaa sultan hakuwa Muarabu wa kweli kweli kabisa kumbe..naona ana Afro na siyo zile nywele za kulala kabisa
 
....WAZANZIBARI KWA VYOVYOTE HAWARUDI NYUMA HADI TUPATE NCHI YETU
Nchi ipi hiyo??? Najua utasema Zanzibar...

Zanzibar ipi?? I mean Unguja ama Pemba?

Kwa sababu mpaka hapo kuna mgawanyiko wa ndani. Yaani Uunguja na Upemba...
 
Nchi ipi hiyo??? Najua utasema Zanzibar...

Zanzibar ipi?? I mean Unguja ama Pemba?

Kwa sababu mpaka hapo kuna mgawanyiko wa ndani. Yaani Uunguja na Upemba...

Kwa comment hii hata Umod haukufai,

Nitajie nchi gani hakuna migogoro ya ndani!
 
Watu sijui waziona vipi hizi dini? Kwa jinsi tunavyo zipenda na kuzitukuza kuliko hata hujo zikoanzia, waarabu kibao wanaishi na wakristo au wayahudi bila matatizo hapa kwetu sijui tatizo nini?

kwa uelewa wangu mfupi moja ya ukoloni tuliobakiwa nao Afrika ni hizi dini, kama tunaweza kuondoa hizi tufauti na kusimama pamoja tutashinda kila kitu, ila sioni hilo likitokea leo au kesho.
 
Swali -: huyo Sultani bado yuko hai? na kama yuko hai,je kwasasa atakuwa na miaka mingapi?
na kama kafa,je kafa mwaka gani?....wajuvi nijuzeni kwa faida yangu na watu wengine
 
MMKJ unajitahidi sana kumsafisha "Mwenye heri", ila katika hili sidhani kama utafanikiwa!
Hakuna kama Mwl nyerere' na hatakuja mtu kama mwl.nyerere Tanzania hii...ila inaweza tokea mtu anayefanana kwa sura
lakini si kufanana kwa Hekima,busara na uongozi! Nasema tena haitakuja kutokea huyo mtu....utaki unaacha
 
Hivi ni kwanini tunaumiza vichwa na huu Muungano!

Acha uvunjike .... wapemba wote walioko bara warudi kwao .... naamaanisha wafanyabiashara na waajiriwa. ili wapate nafasi ya kuja kufanya kazi au biashara bara lazima wawe na entry visa na working permit. Sipati kigugumizi katika hili kwa sababu takwimu zinaonyesha kuwa wqbara walioko unguja ni 28% ya wapemba/waunguja walioko bara.
 
Pole sana Mtu wa Pwani. maumivu makali! Kwa nini lakini?

MMJ kumbe ww mpumbavu sana na una roho mbaya hasa kwa wazanzibari.

MMJ alitengeneza haka ka video? Kwanini usiwatukane waliotengeneza!
Je wametunga/uongo?

roho mbaya hasa kwa wazanzibari. kwa vipi?

Ukweli kuna interest ya watu wa nje wengi tu kwenye kuvunja muungano. Waarabu wanaongoza. Usisahau Iran nayo haipo nyuma, ina maslahi zaidi katika kuuvunja muungano. bahati mbaya sana entry point ni dini, na watu wetu ni mawakala wao wa kutuchuuza kama walivyokuwa wakati wa utumwa.
 
Duh sasa nakubaliana na maneno ya Mwl Nyerere kwamba Zanzibar itatusumbua waTanganyika.
 
Hakuna kama Mwl nyerere' na hatakuja mtu kama mwl.nyerere Tanzania hii...ila inaweza tokea mtu anayefanana kwa sura
lakini si kufanana kwa Hekima,busara na uongozi! Nasema tena haitakuja kutokea huyo mtu....utaki unaacha

Well said, namkubali kikamilifu Nyerere, namkubali pia Mzee Karume the supergenious who didn't go to school but left historic achievements that the so called "modern" scholars want to destroy. Tusidanganyane, madhara ya kuuvvnja muungano yatakuwa na impact kubwa na ya muda mrefu kabisa kwa bara na visiwani. Wazanzibari wanatumiwa kisiasa na maajenti wa Jamshid bila kujua. Tatizo ni vyombo vya inteligensia kuchakachuliwa hadi yote haya kutokea bila hata ya serikali kujua. CCM ya sasa itabeba lawama kwa yote yanayojiri.
 
Nyerere ndiye alikuwa na mkono baada ya Karume kushtuka juu ya muungano na kutaka kuuvunjilia mbali,kwani hata hizo articles of uniun hawakuziandika badala yake walisaini tu.Articles hizo 11 ziliandaliwa na wamarekani na ndio wanaolinda muungano. Yani iko hivi ni bora Wazanzibar wote wafe na wengine waishie Guantanamo lakini muungano haufi kwani unalindwa na Marekani na ni amri ya Vatican.

Nyie wenzetu amkeni toka utumwa wa mawazo mliorithishwa na hao waarabu.
 
HIvi inawezekana kulikuwa na mkono wa Sultani katika mauaji ya Karume?
Kwanini isiwe MR X,au ndo mnatafuta pakukimbilia na kupotosha ukweli halisi.. Itabaki kuwa ni MR X Aliemuua Karume. Hata hiyo video haionyeshi kabisa namna Sultan alivohusika. na huyo jamaa alikuwa hayupo na huko alipo alikuwa hana nguvu zozote.Ajabu mtu kama wewe kutuletea ajenda kama hii.. lkn sishangai,naamini watanganyika hasa wa mrengo wa kushoto mna ajenda ya siri dhidi ya znz. kwani ajabu juzi ati mnasema mfadhili wa muamsho amerudi kutoka oman lkn mumeshindwa kutoa taarifa kuwa huyo jamaa AZANI amevunjiwa nyumba yake na polisi wakati hayupo.
 
We can't play this down. It is certain that his people now want him back.
 
Zanzibar we want: constitituional monachy with sultan as head of state. Safi sana!
 
MMJ kumbe ww mpumbavu sana na una roho mbaya hasa kwa wazanzibari.

wazanzibari wameamka na hizi choko choko za kuwagawa hutofanikiwa si ww wala wenzio uwe ukweli uuje.


wazanzibari toke asili hadi leo ni mchanganyiko wa watu na makabila mbali mbali. ikiwemo damu ya kiarabu na kimanaga ambayo unataka kuwaaaminisha watu kuwa hawana haki ya kupigania nchi yao


rais Karume alieondoka mama yake mwarabu, salim Ahmed baba yake mwarabu, Mansour Yussuf Himid aliekuwa mweka hazina wa CCM (kama sikosei zanzibar) ni mwarabu damu ya kiarabu ina haki zanzibar na imo kwenye vyama vyote vya siasa vyenye maslahi zanzibar iwe CCM au CUF hata zamani iwe Hizbu UMMA PARTY au ASP.

fitna na choko choko zako hazibadili ukweli kuwa wazanzibar wanachotaka ni nchi yao, na wanahisi wanaonewa. sema lugha tu zinatofautiana kutokana na Chama au sehemu aliokuwepo. ndani ya CCM si mara moja wala mbili wazanzibar wanatoa kauli ya kusema kuhusu muungano kutokuwa sawa akiwemo Raza ( ambae ni mhindi), Shamhuna ambae ni mshirazi, mwakilishi Hamza aliekuwa waziri wa nchi, Nassor Moyo mwenye asili ya tanganyika ( lakini ni mzanzibari) aliekuwa waziri wa kwanza wa sheria ya Jamhuri ya muungano. Aboud Jumbe ( aliekuwa rais wa zanzibar na muasisis wa CCM). na wengi wengine wamesema si mara moja juu ya muungano. Pia kwenye CUF na wao si mara moja wala mbili wameshapaza sauti zao kuhusu muungano huu.


kwa hio hatudanganyiki wala hatugawiki wala hatuondoshwi kwenye pointi muhimu ya kudai haki yetu ambayo mnapambana kwa kila njia kuibana na mnatumia kila hila kutaka kutugawa


WAZANZIBARI KWA VYOVYOTE HAWARUDI NYUMA HADI TUPATE NCHI YETU

Mapovu ya nini we mwana Uamsho!
Ulizia ni nani aliwachinja wenzenu na sababu ya kufanya hivyo Wazanzibari kwa wazanzibari.
Wala hawakuwa wamelewa tende au mnazi.
Historia ya Zanzibar ni mapambano ya UBAGUZI wa rangi na si vinginevyo.Mnao kumbatia yale machafu yaliyopita mnaendelea kunoa mapanga yatakayo kata shingo zenu kwa mara nyingine.
Tatizo kubwa ni watu kama wewe ni kupindisha au kutoelewa the basic contradiction katika siasa za Zanzibar.
Leo mnafikiri Watanganyika ndio maadui zenu, nakuomba uishi maisha marefu mapanga yasikukute ili hatimaye uelewe ukweli wenyewe.

Nikuulize tu swali la kiuchokozi-Je umesikia tamko lolote toka la MAALIM SHEIKH SEIF SHARRIF HAMAD?
Tunazisikia tu safari zake za huko Oman!
Kama mtu ana akili basi unganisha all the dots.
Kama hujasikia yote hayo lakini kama umesikia basi kama alivosema JK-changanya za za kwako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom