(Video)Sultani wa Zanzibar alivyofurahia mauaji ya Karume; alitarajia kurudi Zanzibar?

alichosema jamshid ni sawa na ukweli..kwamba Tyrant ameuliwa..kwa nini tusiwe wakweli? hivi Amina Dadah Na karume nani anamzidi mwenzake? mimi kwa maoni yangu Karume ni zaidi..ukweli utabaki hivyo...miaka yake minane(8) amesababisha wakimbizi zaidi ya 400,000 nusu ya wazanzibari...na hapa hatuzungumzi waraabu ama wahindi bali waafrika wenziwe kabisa...lakini wenye asili kamili ya uzanzibari na sio wakuja kama yeye.
mapinduzi pekee yake ambayo yeye tunaambiwa alikua kiongozi yalipelekea kuuliwa kwa watu zaidi ya 25,000 hawa ni wakati wa harakati za mapinduzi pekee yake...jee unajua kwamba 1964 zanzibar ilikuwa na watu 200,000 tu? sasa kuuwa 1/8th ya population bila ya makosa yoyote , hawakupinga mapinduzi kwa kupigana , serikali ilikua tayari wamepindua, na viongozi walopinduliwa wote karibu walinyongwa..makosa yao nini ? wakati karume alishiriki katika uchaguzi na kushindwa?
muulizeni Bakhressa baba yake alichinjwa kama kuku na jeshi la Karume...na jee unajua kwamba BABA wa Bakhressa alikua akimpatia visenti Karume kabla ya mapinduzi yake ? Lakini hilo halikumsaidia kitu alichinjwa tu mbele kwa mbele...hivyo kuna walopata ngawira za mapinduzi walilia alipouliwa Karume lakini wengi walikenua huu niukweli kwani justice mwisho wake ilipatikana kwa waliouliwa na utawala wake...
Jamshid yupo sahihi ...kufurahia na huwezi kumlinganisha yeye na Karume..kwani Jamshid hana tone la damu ya wazanzibar...lakini Karume damu inamptapakaa
 
Mzee Mwanakijiji.
Kwa nini alikimbilia UK badala ya Oman?
Je Oman hawamtaki Mwarabu mwezao?
Swali zuri sana. Niligusia kidogo hapo juu kuwa hao wanaojipachika nasaba ya Omani/Uarabuni, wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi au "mawazo ya kitumwa), lakini ukweli hao ni Wazanzibari. Wengi wao wanaojidai leo kuwa ni waarabu kwa asili na sio kwa uzawa, hawaijui Oman ilivyokaa na wao hawajulikani hata walivyo. Ninataka kusema kuwa jamshid alikimbilia UK badala ya Oman kwa sababu Oman hajulikani. Oman ya ilikotokea asili yake 1652 sio Oman ya 1964 alipopinduliwa (miaka 312 baadaye).
 
kamwemwe hujanipa jibu zaidi za kunipa historia ya gereza la mwanza na dodoma, uso wa chuma enzi hizo.
Kipindi kile kila mtu alikuwa anakamatwa wengine mpaka wakakimbia nchi kina kambona, watanzania wengi walifungwa. Switch to the point please

kwani tunazungumzia nini si historia hao waliofungwa hawana jamaa zao wazee wao wameuliwa ,

umesoma haraka haraka , msingi wa tanganyika umejengwa na kudhulumu na kule zanzibar ni kudhulumiwa , wadhulumiwa wameamka, kweli dunia imebadilika lakini tanganyika haitaki kubadilika zaidi ya kuongeza dhuluma
 
kaka kama vipi! jilipue ukafaidi mahulu72 wenye viuno kama nyigu makalio ft40 na dhakari utaongezewa iwe pima40 wala haitasinyaa! Utuache tule matembele siye! au sivyo balahau! shobo ya nini?

WAZEE WA NIDHAMU HAPA HUJIFUNGA VITAMBAA VYA MACHO, HONGERA ENDELEA KUTUKANA HUU NI UWANJA WENU WAKRISTO KUTUKANA MPENDAVYO

UKWELI UKO PALEPALE


MKOLONI MWARABU NI HUYU HAPA Imani Petro - Mbinu za makafiri 3/8 - YouTube
 
Mzee Mwanakijiji.
Kwa nini alikimbilia UK badala ya Oman?
Je Oman hawamtaki Mwarabu mwezao?
Swali zuri sana. Niligusia kidogo hapo juu kuwa hao wanaojipachika nasaba ya Omani/Uarabuni, wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi au "mawazo ya kitumwa), lakini ukweli hao ni Wazanzibari. Wengi wao wanaojidai leo kuwa ni waarabu kwa asili na sio kwa uzawa, hawaijui Oman ilivyokaa na wao hawajulikani hata walivyo. Ninataka kusema kuwa jamshid alikimbilia UK badala ya Oman kwa sababu Oman hajulikani. Oman ya ilikotokea asili yake 1652 sio Oman ya 1964 alipopinduliwa (miaka 312 baadaye).
 
Nyie wenzetu amkeni toka utumwa wa mawazo mliorithishwa na hao waarabu.

NI KWELI KAMA UTUMWA HUU
[h=1]Heaven's Hypocrite[/h]
Mat 5:9 Blessed are the peacemakers, For they shall be called sons of God.

Jhn 2:15 So he made a whip out of cords, and drove all from the temple area, both sheep and cattle;
he scattered the coins of the money changers and overturned their tables.

Mat 10:34 "Do not think that I came to bring peace on earth. I did not come to bring peace but a sword.

Matt 19:19 'Honor your father and your mother,'

John 2:4 Jesus said to her, "Woman, what does your concern have to do with Me? My hour has not yet come."

Luk 2:43 When they had finished the days, as they returned, the Boy Jesus lingered behind in Jerusalem.
And Joseph and His mother did not know it;

Luke 2:46 Now so it was that after three days they found Him in the temple

Luke 2:48 and His mother said to Him, "Son, why have You done this to us? Look, Your father and I have sought You anxiously."

Luk 2:49 And He said to them, "Why did you seek Me? Did you not know that I must be about My Father's business?"

Matt 5:22 But whoever says, 'You fool!' shall be in danger of hell fire.

Luke 11:40 You fools! Did not he who made the outside make the inside also?

Mat 23:17 You blind fools! Which is greater: the gold, or the temple that makes the gold sacred?

Mat 23:19 You blind fools! For which is greater, the gift, or the altar that sanctifies the gift?

Luke 24:25 And he said to them, "O foolish ones, and slow of heart to believe all that the prophets have spoken!

Mat 25:41 Then shall he say also unto them on the left hand, Depart from me, ye cursed, into everlasting fire

Matt 5:44 But I say unto you, Love your enemies, bless them that curse you

Mat 12:34 "Brood of vipers! How can you, being evil, speak good things?

Mat 23:33 "Serpents, brood of vipers! How can you escape the condemnation of hell?

Luke 19:27 But those enemies of mine who did not want me to be king over them--bring them here and kill them in front of me.

Mat 23:27 "Woe to you, scribes and Pharisees, hypocrites! For you are like whitewashed tombs which indeed appear beautiful outwardly, but inside are full of dead men's bones and all uncleanness.
 
Swali zuri sana. Niligusia kidogo hapo juu kuwa hao wanaojipachika nasaba ya Omani/Uarabuni, wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi au "mawazo ya kitumwa), lakini ukweli hao ni Wazanzibari. Wengi wao wanaojidai leo kuwa ni waarabu kwa asili na sio kwa uzawa, hawaijui Oman ilivyokaa na wao hawajulikani hata walivyo. Ninataka kusema kuwa jamshid alikimbilia UK badala ya Oman kwa sababu Oman hajulikani. Oman ya ilikotokea asili yake 1652 sio Oman ya 1964 alipopinduliwa (miaka 312 baadaye).
hakukumbilia Oman kwa sababu yeye si mu Oman ni Mzanzibari.na raia wa British common wealth hivyo alipewa hifashi UK.
NA HAKUNA MZANZIBARI ANAEJINASIB NA OMAN ILA WA BONGO NDIO WANA SEMA MANENO HAYA...ZANZIBAR NI COSMOPOLITAN COUNTRY KILA RAIA ANA HAKI SAWA NA HAWACHAGUI KATI YA MUAFRIKA AMA MU OMAN AMA MU ASIA..UBAGUZI HUWA UNAPANDIKIZWA NA WAZANZIBARA NA DODOMA ..LAKINI BAINA YAO HAKUNA UBAGUZI..MWARABU ANAMUOA MTUMBATU ..MMAKUNDUCHI ANAMUAOA MWARABU HIVI NDIO WANAVOISHI....? JE MMAKONDE ANAWEZA KUMUOA MTOTO WA KICHAGA? NA IKITOKEA BASI NONGWA
JEE MCHAGA ANA MUOA MZARAMO? JEE MHAYA ANAMUOA MNYACHUSA
HIVYO JAMSHID HAKUWA MU OMAN NA HANA HAKI ZA KIRAIA HUKO..SOMENI HISTORY SIO ILE YA NYERERE YA ZIDUMU FIKRA
 
hakukumbilia Oman kwa sababu yeye si mu Oman ni Mzanzibari.na raia wa British common wealth hivyo alipewa hifashi UK.
NA HAKUNA MZANZIBARI ANAEJINASIB NA OMAN ILA WA BONGO NDIO WANA SEMA MANENO HAYA...ZANZIBAR NI COSMOPOLITAN COUNTRY KILA RAIA ANA HAKI SAWA NA HAWACHAGUI KATI YA MUAFRIKA AMA MU OMAN AMA MU ASIA..UBAGUZI HUWA UNAPANDIKIZWA NA WAZANZIBARA NA DODOMA ..LAKINI BAINA YAO HAKUNA UBAGUZI..MWARABU ANAMUOA MTUMBATU ..MMAKUNDUCHI ANAMUAOA MWARABU HIVI NDIO WANAVOISHI....? JE MMAKONDE ANAWEZA KUMUOA MTOTO WA KICHAGA? NA IKITOKEA BASI NONGWA
JEE MCHAGA ANA MUOA MZARAMO? JEE MHAYA ANAMUOA MNYACHUSA
HIVYO JAMSHID HAKUWA MU OMAN NA HANA HAKI ZA KIRAIA HUKO..SOMENI HISTORY SIO ILE YA NYERERE YA ZIDUMU FIKRA
Sijui kwa nini mkuu Macos unanigeukia mimi wakati hakuna pahali nilisema "yeye ni Muomani", kinyume chake, nimetaja miaka 312 kwa makusudi ili kuhakikisha kuwa yeye ni Mzanzibari.

Hilo la Zanzibar kuwa ni Cosmopolitan nimelisema, naomba rejea kwenye post ya#55 kumjibu Mtu wa Pwani, na ninakubaliana na wewe kuwa Wazanzibar wanaoana kutoka kila mchanganyiko kiasi kwamba hata Magolo (Thabit Kombo) alioa Mhindi, lakini hilo haliondoshi ukweli kuwa Zanzibar kuna chuki na ubaguzi wa kisiasa baina ya Waunguja na Wapemba na hata ndani ya Unguja wenyewe baina ya Kusini na Kaskazini (Wamakunduchi v/s Wadonge).
 
Mzee sasa naona unapotea! Yani unajifanya hujui kuwa siasa za bara kuikamata Znz ndio kumeleteleza haya mauchafu? Mnalazimisha muungano ili dola ya kiislam isisimame Znz na sheria za kuzuia upumbavu kama huo kutumika. Mnang'ang'ania znz ili uislam usiendelee kwani ukiendelea ukristo hautakuwa na nafasi.
Bornvilla, pengine unaweza kutusadia sisi wengine, hivi huu uhuru unatafutwa ni wa 'Jamhuri ya watu wa Zanzibar au Serikali ya Mapinduzi Zanzibar? Najua unajua tofauti kati ya Jamhuri na Mapinduzi katika context ya Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:
hakukumbilia Oman kwa sababu yeye si mu Oman ni Mzanzibari.na raia wa British common wealth hivyo alipewa hifashi UK.
NA HAKUNA MZANZIBARI ANAEJINASIB NA OMAN ILA WA BONGO NDIO WANA SEMA MANENO HAYA...ZANZIBAR NI COSMOPOLITAN COUNTRY KILA RAIA ANA HAKI SAWA NA HAWACHAGUI KATI YA MUAFRIKA AMA MU OMAN AMA MU ASIA..UBAGUZI HUWA UNAPANDIKIZWA NA WAZANZIBARA NA DODOMA ..LAKINI BAINA YAO HAKUNA UBAGUZI..MWARABU ANAMUOA MTUMBATU ..MMAKUNDUCHI ANAMUAOA MWARABU HIVI NDIO WANAVOISHI....? JE MMAKONDE ANAWEZA KUMUOA MTOTO WA KICHAGA? NA IKITOKEA BASI NONGWA
JEE MCHAGA ANA MUOA MZARAMO? JEE MHAYA ANAMUOA MNYACHUSA
HIVYO JAMSHID HAKUWA MU OMAN NA HANA HAKI ZA KIRAIA HUKO..SOMENI HISTORY SIO ILE YA NYERERE YA ZIDUMU FIKRA

Macos, unaamini wazanzibari wengi wanajinasibu na uafrika au na uarabu? Hapo kwenye blue, unaweza kuniambia ni kwa nini wakati wa campaign za uchaguzi wa rais (kama sikosei ni 2005) kiongozi mmoja wa CUF alisema hivi: 'mwisho wa ngozi nyeusi kutalawa ni mwaka huu (akiimanisha 2005)?

Na hapo kwenye red: hauko sahihi, watu wanaona sana including wachagga na wamakonde.
 
Macos, unaamini wazanzibari wengi wanajinasibu na uafrika au na uarabu? Hapo kwenye blue, unaweza kuniambia ni kwa nini wakati wa campaign za uchaguzi wa rais (kama sikosei ni 2005) kiongozi mmoja wa CUF alisema hivi: 'mwisho wa ngozi nyeusi kutalawa ni mwaka huu (akiimanisha 2005)?

Na hapo kwenye red: hauko sahihi, watu wanaona sana including wachagga na wamakonde.
FJM safi sana mkuu wangu.. Unajua huyu jamaa haiwezi mwaka Mmakonde ndiye Mngazija na Mzanzibar na asili yake ni bara. Na mbona wengi tu wengine wamehamia Moshi ni mawaziri na Manaibu au hadi tutaje majina yao? Lakini sijaona Mwarabu wa kike kaolewa na Mtambutu kama sii kwa shinikizo la Marehemu Karume ambalo linalaaniwa hadi kenda kaburini, ngozi nyeusi haiwezi kuoa mtoto wa kike wa kiarabu Zanzibar labda huyo mtoto kaasi familia na huitwa malaya, lakini Wazanzibara huoana na yeyote.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
FJM safi sana mkuu wangu.. Unajua huyu jamaa haiwezi mwaka Mmakonde ndiye Mngazija na Mzanzibar na asili yake ni bara. Na mbona wengi tu wengine wamehamia Moshi ni mawaziri na Manaibu au hadi tutaje majina yao? Lakini sijaona Mwarabu wa kike kaolewa na Mtambutu kama sii kwa shinikizo la Marehemu Karume ambalo linalaaniwa hadi kenda kaburini, ngozi nyeusi haiwezi kuoa mtoto wa kike wa kiarabu Zanzibar labda huyo mtoto kaasi familia na huitwa malaya, lakini Wazanzibara huoana na yeyote.

Kiongozi, kuna mambo mengi sana yamejichanganya kwenye hizi harakati za kudai 'uhuru wa Zanzibar' Sina tatizo kabisa kwa watu wa Zanzibar kudai haki yao hasa pale wanapoona wanaikosa. Lakini ningependa watu wawe wazi, na kwa hakika hata ndani ya UAMSHO sio kila mtu anajua ni nini hasa kinapiganiwa.

Moja ya 'unaswered' question ni hapo kwenye red. Kuna kundi kubwa sana limekuwa linataka kujibu mapigo kwa kile wanachoamini 'walidhalilishwa'. Na ndio sababu nilimuuliza mdau mmja hapa, hizi harakati ni za kudai uhuru wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar au uhuru wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar? tusibiri majibu.
 
macos, unaamini wazanzibari wengi wanajinasibu na uafrika au na uarabu? Hapo kwenye blue, unaweza kuniambia ni kwa nini wakati wa campaign za uchaguzi wa rais (kama sikosei ni 2005) kiongozi mmoja wa cuf alisema hivi: 'mwisho wa ngozi nyeusi kutalawa ni mwaka huu (akiimanisha 2005)?

Na hapo kwenye red: Hauko sahihi, watu wanaona sana including wachagga na wamakonde.
hayo maneno ya propaganda kwani uchaguzi wa 2005 waliogombea urais ni seif sharif na salmin amour wote washirazi na vyama hivyo wote wawakilishi wao ni wabantu na washirazi hakuna mwarabu aliyegombea ..labda msabaha kama unamkumbuka sasa hio serikali ya weupe ingetoka wapi?
Wazanzibar wanajina sibisha zaid na uislam na sio u oman ...wa oman madheheb yao ya dini ni ibaadhi kama unafahamu lakini wa zanzibar karibu wote ni wa madhehebu ya sunni

nadhani nimekujibu ...
 
NI KWELI KAMA UTUMWA HUU
[h=1]Heaven's Hypocrite[/h]
Mat 5:9 Blessed are the peacemakers, For they shall be called sons of God.

Jhn 2:15 So he made a whip out of cords, and drove all from the temple area, both sheep and cattle;
he scattered the coins of the money changers and overturned their tables.

Mat 10:34 "Do not think that I came to bring peace on earth. I did not come to bring peace but a sword.

Matt 19:19 'Honor your father and your mother,'

John 2:4 Jesus said to her, "Woman, what does your concern have to do with Me? My hour has not yet come."

Luk 2:43 When they had finished the days, as they returned, the Boy Jesus lingered behind in Jerusalem.
And Joseph and His mother did not know it;

Luke 2:46 Now so it was that after three days they found Him in the temple

Luke 2:48 and His mother said to Him, "Son, why have You done this to us? Look, Your father and I have sought You anxiously."

Luk 2:49 And He said to them, "Why did you seek Me? Did you not know that I must be about My Father's business?"

Matt 5:22 But whoever says, 'You fool!' shall be in danger of hell fire.

Luke 11:40 You fools! Did not he who made the outside make the inside also?

Mat 23:17 You blind fools! Which is greater: the gold, or the temple that makes the gold sacred?

Mat 23:19 You blind fools! For which is greater, the gift, or the altar that sanctifies the gift?

Luke 24:25 And he said to them, "O foolish ones, and slow of heart to believe all that the prophets have spoken!

Mat 25:41 Then shall he say also unto them on the left hand, Depart from me, ye cursed, into everlasting fire

Matt 5:44 But I say unto you, Love your enemies, bless them that curse you

Mat 12:34 "Brood of vipers! How can you, being evil, speak good things?

Mat 23:33 "Serpents, brood of vipers! How can you escape the condemnation of hell?

Luke 19:27 But those enemies of mine who did not want me to be king over them--bring them here and kill them in front of me.

Mat 23:27 "Woe to you, scribes and Pharisees, hypocrites! For you are like whitewashed tombs which indeed appear beautiful outwardly, but inside are full of dead men's bones and all uncleanness.
Vizuri sana mkuu na hiyo misahafu inasemaje juu ya Muungano na kuchoma moto makanisa.
You are intelligent by half and also myopic.
 
Vizuri sana mkuu na hiyo misahafu inasemaje juu ya Muungano na kuchoma moto makanisa.
You are intelligent by half and also myopic.

[FONT=Arial,Helvetica]MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica]
Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:[/FONT]

[FONT=Arial,Helvetica]
Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.[/FONT]

[FONT=Arial,Helvetica]Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona. Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu.

Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka). Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa. Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima![/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.[/FONT]


[FONT=Arial,Helvetica]
Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.[/FONT]
 
hayo maneno ya propaganda kwani uchaguzi wa 2005 waliogombea urais ni seif sharif na salmin amour wote washirazi na vyama hivyo wote wawakilishi wao ni wabantu na washirazi hakuna mwarabu aliyegombea ..labda msabaha kama unamkumbuka sasa hio serikali ya weupe ingetoka wapi?
Wazanzibar wanajina sibisha zaid na uislam na sio u oman ...wa oman madheheb yao ya dini ni ibaadhi kama unafahamu lakini wa zanzibar karibu wote ni wa madhehebu ya sunni

nadhani nimekujibu ...

Macos, nikusahihise kidogo, Salmin Amour hakugombea 2005, kipindi hicho tayari yeye ni mstaafu. Kwenye hoja ya uarabu, kwa maoni yako unadhani uarabu wa Zanzibar ni wa ngozi au hata kuzalia au ni 'pyscholigical?
 
macos, nikusahihise kidogo, salmin amour hakugombea 2005, kipindi hicho tayari yeye ni mstaafu. Kwenye hoja ya uarabu, kwa maoni yako unadhani uarabu wa zanzibar ni wa ngozi au hata kuzalia au ni 'pyscholigical?

kweli nimekosea 2005 salmin alikua msataafu lakini pia aliegombea alikua karume..yeye ni chotara wa kiafrika na na kiarabu? Au kihindi sina uhakika na fatma karume alikua kabila gani..
Ama kuhusu uwarabu wa zanzibar ..ni dhana tu ya wasio jua...wapo waarabu kabisa bado wengi wanaihi znz na tanganyika....na tatizo ni kwa vile watu wa zanzibar wanatumia majina ya kiislam na ambayo ndio majina ya waarabu haiwamanishi wao ni waarabu ila ni waislam..kama vile wengine wanaitwa john au george lakini sio mzungu..bali ni mbantu....
Ukweli fjm ni hivi ..wzanzibari wana upenda na kufurahia sana kuitwa wazanzibari zaidi kuliko utanzania au u oman...
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ukweli fjm ni hivi ..wzanzibari wana upenda na kufurahia sana kuitwa wazanzibari zaidi kuliko utanzania au u oman...

Kiongozi kama hutojali, naomba maoni yako. Hivi kwa mfano Wanzanzibari wangepewa 'ultimatum' kwamba ama wachague 'utanzania au u-oman' unafikiri wangechagua upande upi?
 
kiongozi kama hutojali, naomba maoni yako. Hivi kwa mfano wanzanzibari wangepewa 'ultimatum' kwamba ama wachague 'utanzania au u-oman' unafikiri wangechagua upande upi?

hapa fjm unanitafutia lawama...lakini naweza kujibu namna hii..kama hao oman wataridhia ultimatum yao basi naamini wangechagua u-oman ...kuliko utanzania...lakini hapa oman bwana wako mbele sana sana wameshatuacha kwa masafa sasa sidhani kama watakubali mzigo huu ....
Kwa nini ? Kwa sababu tanganyika wanadhani zanzibar ni kama koloni..na hapa ndio tatizo ya yoooote haya..
  • mfano rais wa zanzibar hawezi kupanga safari nje ya nchi bila ya kibali na kupangiwa na hata wakuonana nae huko anakoenda kutoka tangannyika
  • zanzibar haina haki ya kupata mikopo kama zanzibar bila ya kupitia tanzganyika
  • zanzibar haiwezi kupata misaada bila kupitia tanganyika
  • zanzibar haiwezi hata kuwa mwanachama wa nchi za visiwa vya bahari ya hindi...
  • zanzibar hawawezi hata kuwa wana chama wa fifa
  • zanzibar hawkusantyi kodi ya customs
  • hawakusanyi kodi za visa
  • hawakusanyi hata kodi vat
  • uchumi wao unaendeshwa na serikali yao lakini inapotokea wizi mfano wa epa ambapo athari yake ni kupanda kwa bei za nyumba kutokana na mapesa mengi kuwa nje kwa wizi basi wao wanaathirika tu kupanda bei huku
  • mauzo ya tanganyika yakipungua na kusababisha ukosefu wa dollari na shillingi kushuka thamani basi wao wanahangaika na hawana njia za kuzuia hali hio katika uchumi wao .athari yake ni kubwa sana
  • wakati wa mikataba ya imf , stractural adjustemnts , na ubinafsi shaji masharti ya imf ..pamoja na kushusha thamani ya shillingi zanzibar hawakuwamo katika kukuza uchumi wao ila walibeba zigo la kushuka kwa thamani ya shilling bila ya msaada wowote..tanganyika walipata missada ya mikopo na grants kui nua uchumi wao...
  • masharti ya imf huketa balaa kubwa kwa nchi husika hta ikipewa mikopo na misaada na imf seuze zeuze zanzibar ambayo ilibeba mzigo mkubwa wa kushka thamani bila ya msaaada wowote
  • ndugu yangu fjm...hili suala ni pana sana wako wanadhani ni mambo ya uarabu hapana zanzibar kama nchi inayoendesha uchumi wake wenyewe inaumia sana ndani ya mfumo huu wa muungano si suala la udini pia lakinin chi inaumia sana...
  • hawawezi kuwa na uchumi imara kwa vile inflation inaamuliwa zaidi na uchumi wa tanganyika kwani ni mkubwa kuliko wao
  • hata uchumi wa zanzibar ukuwe to 3 digits basi kutakuwa hakuna athari yoyote kwao....ni sawa na kusema mapato ya ilala city council yaongeze mara dufu basi watu wa ilala hawatafaidi lolote kwani uchumi wa nchi umedorora
zanziab inahitaji kuwa huru zaidi kwa mustakabal wake na watu wake vingnevo huu muungano ulipo usiwe masharti yoyote ya kuibana znz..otherwise watu wataendelea kudai haki yao.
Jengine kuna tatizo ndani ya ccm ...kama kuna kitu nyerere ameki asisi basi hata kama ilikua na wrong basi wao wazito wa kufikiri na kufanya maamuzi tofauti na kukosoa ..mfano ni huu muundo wa muungano ...hapa tungekubali maani ya tume ya kisanga na nyalali kuwa na serikali tatu basi tusinge fika hapa..lakini ccm ndio tatizo na msimamo huu unawafanya wa znz kuona kama wana tawakiwa
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Back
Top Bottom