DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Hali ni mbaya sana. Mungu atunusuru. Lakini hili wimbi la wahindi, waarabu kujificha ccm tunalichukuliaje?
Hapa ndio penye tatizo la CCM,hakika wakitatua tatizo hili nina imani wananchi watawapokea kuwa wameludisha chama kwa wenyewe.