hii ndo Tanzania bwana, wanaofanya mema wote wanachukiwa na kuzimwa kwa style tofauti na wasio waadilifu wanasurvive tu. sorry, but sometimes i hate this country.
katika mazingira ya kawaida lazima Jerry ategemee kuwa na maadui wachache lakini wenye mbinu mbalimbali chafu.
Sudi Mnete nakushauri na wewe hiki si kipindi cha kupayuka payuka.kaa chini tafakari
tatizo sio kuundiwa scandal..............kwenye swala la jerry....!nitakisimamia ninachokiamini.na ninachoamini ni kwamba jerry wamemuundia scandal
hii ndo Tanzania bwana, wanaofanya mema wote wanachukiwa na kuzimwa kwa style tofauti na wasio waadilifu wanasurvive tu. sorry, but sometimes i hate this country.[/QUOTE]
TAFAKARI CHUKUA HATUA;HAKUNA MTZ ASIPENDA MTEREMKO/SLOPE YOTE HAYA SABABU YA MAISHA MAGUMU!!!!!!!
tatizo sio kuundiwa scandal..............
yaani unaamini jerry hawezi kuchukua rushwa?????
kwa kuwa sio mtanzania?????
kwa kuwa yeye sio binadamu hivo unaamini hawezi kuwa na mapungufu????
KWA TAARIFA YAKO..............KELELE NYINGI ZOTE ZINZLENGA MASLAHI BINAFSI YA BAADAE NA ZINALENGA KUWAFUMBA MACHO WALE WENYE UPEO MDOGO WA KUAMINI KUWA ANAEKEMEA HAWEZI AKAFIKIA HATUA YA KUKEMEWA........
mwacheni awajibike kwa makosa yake...........kama sio kweli pia itajulikana ila huwezi kumtia mtu hatiani kabla ya mkondo wa sheria kuingilia na pia huwezi kumwondoa mtu hatiani kabla haijathibitika kutokuwa na kosa.............
Mkuu kunaushabiki hapa unaendelea wa hali ya juu nimeshangaa sana Muro kusema Kova siyo jeshi la police, nadhani Muro amepandwa na jazba ambayo haimsaidii sana.
Huyo dogo anaweza kuwa Jambazi.....ngoja tuchambue Singles zake kwanza.Amenikumbusha wale vijana wa kirusi
Muro Gombea Ubunge ule ulaji maana umaarufu umepanda ongera na pole na matatizoBaada ya sakata la Jerry muro na polisi kuripotiwa umaarufu wake umeongezeka kwa zaidi ya 100%
Vyombo vyote vya habari vinamuongelea yeye, forums mbalimbali zinamuongelea yeye, kwenye blogz ni yeye tu, mitaani ndio usiseme, hadi watoto wanajadili ishu yake.
Muro Gombea Ubunge ule ulaji maana umaarufu umepanda ongera na pole na matatizo