Video: Jerry Muro apasua jipu la sakata lake la rushwa!

pia nilipo sikiliza jerry akiongea wakati wa kipindi cha usiku wa habari TBC. na nilipomsikiliza asubuhi wakirejea maelezo yale inaonekana kama Jerry alibadilisha mazungumzo kwani kuna baadhi ya maneno sikuyasikia na baadhi ya maneno yaliongezwa upya.
kwa mfano pale usiku ambapo ilikua live hakusema kama yeye ndoalichangia waziri mkuu awafukuze wale jamaa kwa kutoa habari zao lakini wakati wa asubuhi ikiwa tayari ni recorded aliongea kitu hicho.
pia kwenye habari ya asubhi alidai alikua nanajiandaa kwenda kanisani lakini ingawa jana alidai kitu kingine.
kuonekana hawa jamaa wamejhariri maongezi ya jwerry pale studio marak kadhaa.
 
haya ni masuala ya kisheria...hayahitaji kupayuka.Jerry anaposema Kova ni mtu mdogo ana maana gani??na yeye ni mkubwa au.Haya ni maneno yasiyostahili kutamkwa na mwandishi kama yeye ambaye juzi tu kajizolea sifa lukuki.

Sheria ni msumemo....hapa hakuna sympathy ya umma wala nini tusubiri sheria ichukue mkondo wake.

Tusianze ku -assume kwamba kutokana na taarifa zake ndo maana haya yakatokea.

Tanzania kuna sheria tangu lini? au ndio sheria zitaanza kufuata kwenye kesi ya Jerry. nchi hii wakikutafuta hawakukosi. issue nzima ya Jerry ni kitendawili. hakuna na la maana zaidi ya hao walomkamata kujikanyaga tu.
 
Hivi Jerry Muro ni nani?

katika hii video kuna mambo ambayo ningependa kujua kwa undani

1.Jerry Muro anasema Kova is very minor person;siyo jeshi la polisi

2.Miaka minne anakaaa na Pingu,yeye ni Polisi?

Who the hell is Jerry Muro?a cop?wtf
Kama ulikuwa hufahamu,sasa fahamu kuwa JM ni afisa usalama wa taifa,alijiunga T,hapo february 14,2004 akitokea masomoni America.Najua wengi hawafahamu kuhusu hilo ni bora mkakaa chini na muache vyombo vinavyohusika vifanye kazi yake.
 
Kama ulikuwa hufahamu,sasa fahamu kuwa JM ni afisa usalama wa taifa,alijiunga T,hapo february 14,2004 akitokea masomoni America.Najua wengi hawafahamu kuhusu hilo ni bora mkakaa chini na muache vyombo vinavyohusika vifanye kazi yake.

Kweli tutayasikia mengi, hiyo 2004 si ndio kwanza yuko mwaka wa pili hapo UD akichezea suplimentary za Kina Ngwa'nza Kamata na kina DR Nyirabu? sasa huko masomoni America alienda lini?
 
Ni jambo la kusikitisha sana. Niliangalia briefly maelezo ya Kova jana na picha ya tukio,, vyote ni vya kutengeneza. Kova alizidisha kigugumizi na hakuweza kabisa kunganisha tukio hilo la rushwa, pingu na silaha. Hata kwa namna alivyokuwa anaongea utaona hana confidence na mpiko tu. Kinachotakiwa ni kwa walio karibu na JM, nikimaanisha marafiki wamsihi atulie asiwe na hasira, atafute mwanasheria mahiri na akicheza vilivyo atashinda kwa kishindo.

Ni vema waanze ku-tress communication ya Muro na huyo jamaa, uzuri siku hizi simu zimesajiliwa, hivyo mwanasheria pamoja na sheria atumjie pia proof za kisayansi. Ili nikupatie mzigo ni lazima kuwe na mawasiliano in advance si hivi hivi tu.
 
polisi wa tanzania huwa awakubali kushindwa, na jambo kama hili iwapo itabainika JM hakuusika kwa namna yoyote kuomba rushwa inabidi watanzania tuandae kongamano la kumuomba mh Rais alivunje jeshi lote la polisi na aunde kikosi kingine cha kulinda raia ambacho kitaweza kushirikiana na jamii nzima
You said it, ndiyo maana Sumatra walichukuwa Majemba pamoja na kwamba siyo SMEs katika kazi ya vehicle inspection, arresting, etc, at least they can produce something tangible with their laymen background!!!
 
pia nilipo sikiliza jerry akiongea wakati wa kipindi cha usiku wa habari TBC. na nilipomsikiliza asubuhi wakirejea maelezo yale inaonekana kama Jerry alibadilisha mazungumzo kwani kuna baadhi ya maneno sikuyasikia na baadhi ya maneno yaliongezwa upya.
kwa mfano pale usiku ambapo ilikua live hakusema kama yeye ndoalichangia waziri mkuu awafukuze wale jamaa kwa kutoa habari zao lakini wakati wa asubuhi ikiwa tayari ni recorded aliongea kitu hicho.
pia kwenye habari ya asubhi alidai alikua nanajiandaa kwenda kanisani lakini ingawa jana alidai kitu kingine.
kuonekana hawa jamaa wamejhariri maongezi ya jwerry pale studio marak kadhaa.
Alisema nimfuate yanini Wage ambaye si mtumishi tena? Halafu ya kanisani mimi nilisikia amesema alikuwa anajiandaa kwenda kanisani kuna issue alikuwa anaifuatilia huko ndiyo akapokea simu..
 
Ni jambo la kusikitisha sana. Niliangalia briefly maelezo ya Kova jana na picha ya tukio,, vyote ni vya kutengeneza. Kova alizidisha kigugumizi na hakuweza kabisa kunganisha tukio hilo la rushwa, pingu na silaha. Hata kwa namna alivyokuwa anaongea utaona hana confidence na mpiko tu. Kinachotakiwa ni kwa walio karibu na JM, nikimaanisha marafiki wamsihi atulie asiwe na hasira, atafute mwanasheria mahiri na akicheza vilivyo atashinda kwa kishindo.

Ni vema waanze ku-tress communication ya Muro na huyo jamaa, uzuri siku hizi simu zimesajiliwa, hivyo mwanasheria pamoja na sheria atumjie pia proof za kisayansi. Ili nikupatie mzigo ni lazima kuwe na mawasiliano in advance si hivi hivi tu.

Mkuu sema hiiiivi, Nilimwangalia Kova alivyokuwa anaongea na kukumbuka siku Zombe akiongelea kuuwawa wale wafanyabiashara wa Mahenge akiwa ameshika mipesa kama kielelezo kwenye TV na kusema watu wasiingilie kazi za wengine wakati kumbe ndiye think tank............
 
.

Ushauri wa bure ni kwamba ndugu Muro apunguze munkari, ajifunze kutafakari, kuchagua na kupanga maneno yake hususani pale anapokuwa anaongelea watu ambao kwa mujibu wa sheria wana haki ya kufanya walichofanya mpaka sasa hivi.

PatPending
Naungana na wewe, Jerry hatakiwi kuongea sana hili swala maana yake haya maneno yenye ushahidi yawea kutumiwa dhidi yake na ikawa taabu kuchomoka.
Ni muhimu kupata ushauri wa wanasheria na washauri wengine nini cha kuongea..
 
Huyo muhasibu anamiliki account yenye Bilioni 2. eti kihalali mmmh! kwa biashara gani wewe Muhasibu?
 
Kova is very minor personal and is not a solder(Police)!!!!!!!!!! He don't know to express himself. Hafai kuwa kamanda wa jiji kubwa kama hili. Shame upon you Kova.
 
Alisema nimfuate yanini Wage ambaye si mtumishi tena? Halafu ya kanisani mimi nilisikia amesema alikuwa anajiandaa kwenda kanisani kuna issue alikuwa anaifuatilia huko ndiyo akapokea simu..

Huyo aliyempigia simu namba yake si iko kwa Jerry Muro! Kwa nini wasianzie hapo?
 
Kuhusu Bastola ambayo inamilikiwa na Jerry Murro Afande Kova amesema silaha hiyo imetengenezwa nchini Chec. Republic ni SZ 97 B NO A 6466 inayobeba risasi 10 anaimiliki kihalali kabisa, ina vibali vyote na alipewa kwa ajili ya kujilinda na maadui zake kutokana na kazi zake za habari za uchunguzi, Isipokuwa pingu ambazo hakuna raia ambaye anaruhusiwa kumiliki kisheria.

Jamani mtuhumiwa unatoa siri zake kweli kova kafulia sana
Eti anamiliki kihalali na inatumia risasi kumi tu; kwahiyo anawaambia majambazi waende na risasi zaidi ya kumi ili akiishiwa wammalize.

kweli kova umefulia unwezaje kutangaza silaha ya mtu anamiliki kihalali pia unataja hata aina ya silaha, ili watu wajue watawezaje kumshinda Kova wewe ni Askari unajua kabisa ili uweze kumkabili adui ni lazima ufanye uchunguzi ujue ni aina ipi ya silaha anatumia.

Police tunakwenda wapi sasa Kova unaliaibisha Jeshi
 
Kamanda kova kwa hili la kijana Jerry umechemsha sana na limekushushia hadhi katika ufanisi wa kazi zako. Baada ya kupambana na Mafisadi unapambana na katoto ka mafisadi. Tuko pamoja inaonekana huyo Muheshimiwa ni mmoja wa wala rushwa katika nchi hii your right "He si minor Person" na hajakamilika kuwa Polisi mkuu.
 
Kusema ukweli itakua Ngumu....Polisi wamekosa Akili....Police don't know what is Time....!!
 
Pole pole..pole pole...Ukweli ujulikane....Aibu...Tupo Chini sana....TBC !!!
 
Back
Top Bottom