Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Pasco
Umesema kweli - fedha hakupokea hata kidogo.
Tatizo Jerry anakana kumfahamu huyo Mhasibu wa Bagamoyo wakati kuna ushahidi wa Jerry kufahamiana naye. Sasa uvumi unasema, Jerry alikuwa na wenzake waliokuwa wanajifanya polisi na PCCB ili wajifanye kumkamata na kumtia pingu ili awape fedha waliyohitaji. Na kuna mengi zaidi kwenye trails za Jerry maana amekuwa anaacha DNA kibao katika mapito yake. MTC watamkimbia muda si mrefu wakiishajua ukweli wa suala hili.
Umesema kweli - fedha hakupokea hata kidogo.
Tatizo Jerry anakana kumfahamu huyo Mhasibu wa Bagamoyo wakati kuna ushahidi wa Jerry kufahamiana naye. Sasa uvumi unasema, Jerry alikuwa na wenzake waliokuwa wanajifanya polisi na PCCB ili wajifanye kumkamata na kumtia pingu ili awape fedha waliyohitaji. Na kuna mengi zaidi kwenye trails za Jerry maana amekuwa anaacha DNA kibao katika mapito yake. MTC watamkimbia muda si mrefu wakiishajua ukweli wa suala hili.