Nostradamus
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 392
- 6
you are right brothere,sio wote watakaoona hii video na hivyo itakuwa ngumu sana kwake kupata magnetude pablic sympathy.angefanya press conferance publicly ingem beba sana,hapo anapiga story na watu wake wa karibu na anatoa maneno makali sana.Halafu hata hao watu wake wa karibu wawe makini katika kurelease picha kama hizi people can use them against him kwa sababu inavoonekana ni kama walikuwa tu ofisini wanapiga stori sio press conference
naamini hawa police wamejichanganya vibaya,sasa MURO akibugi step watapata mwanya wa kumpiga pini.anatakiwa kutukia sana.mungu atamlinda