Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 19,056
- 22,818
Lissu alianza kulalamikia kuhusu watu waliokuwa wanamuwinda hata kabla hajashambuliwa na alitaja namba za magari waliyokuwa wakiyatumia, hata hivyo polisi walikausha...ni kesi ya jinai.
..polisi ndio wenye mamlaka kisheria kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.