Video - Interview ya Tundu Lissu: Afafanua kwa ufasaha zaidi uhusika wa Paul Makonda kuratibu jaribio la kumuua kwa risasi Septemba, 2017

..jaribio la kumuua Lissu ni kosa la jinai.

..kwa sheria za Tanzania jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.

..kwa msingi huo Lissu hana mamlaka ya kuwakamata, na kuwashtaki, waliomshambulia, hata kama anawajua.
Amekwenda polisi kushtaki kiwa fulani alitaka kuniua ? Au kila siku ni kwenye media tu?

Namkubali Lissu, ila katika hili hebu atake next step sio kulia lia tu, aende polisi, awape maelezo yake, kisha tuone polisi watamkataa au lah, sasa kubaki na assumptions kibao na hataki kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi inaonekana kama anatumia tatizo kupata milage ya kisiasa tu
 
Unaijua sheria ya makosa ya jinai?

Unajua nani hupeleka kesi mahakamani?

Bila shaka wewe kadhi Mkuu ndiye hasa mpumbavu na mjinga kwa sababu huyajui mambo haya yanavyokwenda..

Ungekuwa si mjinga usingetoa hoja hii..
Hii nchi ina majinga mengi sana yanayomiliki simu za mkononi.alafu yanajifanya yanajua mambo kumbe majinga.Yako mengi sana huku mitandaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uongeaji wa uswahilini kabisa 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
Sidhani kama CCM imekufa ila watu wanatakiwa kufahamu kuwa ina sura tofauti za kisiasa ambazo huzitumia kwa kulingana na upepo na mazingira ya kisiasa yalivyo nchini na duniani.
1. FISI/MBWEHA/VIRUSI-Tamaa, chuki, wivu, inda, ulafi, ufisadi, ukosefu wa maadili
2. SIMBA/NYEGERE-ujasiri, ukatili, sifa, upole kwa viumbe vinyonge, uthubutu, ukweli, uwazi, kutamani matokeo sio wingi, kuhofiwa
3. CHUI/NYOKA-Unafiki, uviziaji, uchoyo, kuwindana kwa nia ya kunyang'anya, sifa, kubadili rangi, soni machoni lakini ni wauaji wakubwa

Kila mtawala aliyewahi kuongoza nchi kupitia CCM ametokana na moja ya makundi yenye sifa na hulka za wanyama tajwa hapo juu.
 
Sidhani kama CCM imekufa ila watu wanatakiwa kufahamu kuwa ina sura tofauti za kisiasa ambazo huzitumia kwa kulingana na upepo na mazingira ya kisiasa yalivyo nchini na duniani.
1. FISI/MBWEHA/VIRUSI-Tamaa, chuki, wivu, inda, ulafi, ufisadi, ukosefu wa maadili
2. SIMBA/NYEGERE-ujasiri, ukatili, sifa, upole kwa viumbe vinyonge, uthubutu, ukweli, uwazi, kutamani matokeo sio wingi, kuhofiwa
3. CHUI/NYOKA-Unafiki, uviziaji, uchoyo, kuwindana kwa nia ya kunyang'anya, sifa, kubadili rangi, soni machoni lakini ni wauaji wakubwa

Kila mtawala aliyewahi kuongoza nchi kupitia CCM ametokana na moja ya makundi yenye sifa na hulka za wanyama tajwa hapo juu.
umeongea kitu kizito sana chenye maana na mantiki kisiasa purely 💪👏🐒

Mifano ndio ya kipanyarodi na kijambazi haina maana na imedhoofisha darasa la elimu ya sayansi ya siasa...

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
..Polisi wakipata taarifa ya tukio la uhalifu wanawajibika kuchunguza na kuwakamata waliohusika.

..Baada ya hapo wanapeleka ushahidi walioupata kwa Dpp ambaye ofisi yake ina jukumu la kufungua kesi.

..Mhanga wa uhalifu jukumu lake ni kutoa ushahidi kama utahitajika. Hana mamlaka ya kisheria kufungua kesi ya makosa ya jinai.

Cc Sang'udi , DAMA2025
Maana yake makosa yote ya jinsi yapo yapo chini ya Dpp.ikizidi ni usalama wausike
 
Amekwenda polisi kushtaki kiwa fulani alitaka kuniua ? Au kila siku ni kwenye media tu?

Namkubali Lissu, ila katika hili hebu atake next step sio kulia lia tu, aende polisi, awape maelezo yake, kisha tuone polisi watamkataa au lah, sasa kubaki na assumptions kibao na hataki kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi inaonekana kama anatumia tatizo kupata milage ya kisiasa tu

..Polisi tayari wanazo taarifa kuwa Lissu alishambuliwa.

..Na Polisi walishafika eneo aliposhambuliwa Lissu na walichukua vielelezo toka eneo la tukio.

..Moja ya vielelezo walivyochukua Polisi ni gari aliyokuwa akitumia Tundu Lissu.

..Suala hili limeshapita hatua ya Polisi kupewa taarifa ama na Lissu, au walioshuhudia yukio.

..Kinachoonekana sasa hivi ni Polisi kutokutimiza wajibu wao wa kuchunguza na kuwakamata waliohusika.

..Jaribio la kutaka kumuu Lissu lina miaka 6 tangu litokee. Polisi wanapaswa kutoa majibu.
 
..Polisi tayari wanazo taarifa kuwa Lissu alishambuliwa.

..Na Polisi walishafika eneo aliposhambuliwa Lissu na walichukua vielelezo toka eneo la tukio.

..Moja ya vielelezo walivyochukua Polisi ni gari aliyokuwa akitumia Tundu Lissu.

..Suala hili limeshapita hatua ya Polisi kupewa taarifa ama na Lissu, au walioshuhudia yukio.

..Kinachoonekana sasa hivi ni Polisi kutokutimiza wajibu wao wa kuchunguza na kuwakamata waliohusika.

..Jaribio la kutaka kumuu Lissu lina miaka 6 tangu litokee. Polisi wanapaswa kutoa majibu.
Usipende kuachia mambo yako kwenye mikononya watu wengine, Polisi walisema wamemtumia wito Tal Wa kwenda kumuhoji, alienda ? Anasema ana ushahidi wa kuhusika makonda, kaupeleka polisi? Asibaki kulia kwenye media bila kufanya kitu, anatoa room kwa watu kusema anatafuta kiki tu,

Kama anajua makonda kahusika atoe ushahidi hadharani kama hawaamini polisi, other than that ni anatafuta milage tu
 
Usipende kuachia mambo yako kwenye mikononya watu wengine, Polisi walisema wamemtumia wito Tal Wa kwenda kumuhoji, alienda ? Anasema ana ushahidi wa kuhusika makonda, kaupeleka polisi? Asibaki kulia kwenye media bila kufanya kitu, anatoa room kwa watu kusema anatafuta kiki tu,

Kama anajua makonda kahusika atoe ushahidi hadharani kama hawaamini polisi, other than that ni anatafuta milage tu

..Polisi ndio wanaotaka kumuachia Lissu majukumu yao.

..Kutafuta na kukusanya ushahidi na kuwakamata waliohusika sio jukumu la Lissu, ni jukumu la Polisi.

..Lissu analalamika mitaani kwasababu hajatendewa na hatendewi haki ktk suala lililomtokea.

..Tunaelekea mwaka wa 7 tangu ashambuliwe.

..Polisi wafanye kazi yao, vinginevyo tunaamini wako upande wa waliomshambulia Lissu.
 
Tundu Lissu ameshapoteza sifa ya kuwa kiongozi
1. Ana kisasi (vengeance)
2. Ana chuki hatred)
3. Mbaguzi (selective)
4. Anajadili watu badala ya masuala (kumshambulia Makonda kwa tuhuma asizoweza kuthibitisha popote)
5. Amepoteza mvuto
6. Kumwongelea vibaya JPM halina tija kwake hata kidogo
7. Uroho wa umimi zaidi ya usisi kwa pamoja tunashinda

Apuuzwe nashauri CDM mgombea urais awe ni John Mnyika huyu ana sifa zote maana hujadili masuala tu tena kwa ushahidi usio na shaka na hashabikii kumjadili mtu kwa nia ya kumchafua na kumwondolea heshima kwenye jamii (character assassination)

JOHN MNYIKA anafaa kugombea Urais 2025 natumai atakuwa amefikisha umri wa miaka 40
Watanzania tunataka kiongozi anayegusa maisha ya kila Mtanzania,sio mtu kutwa anajisemea mwenyewe kama anavyofanya Lissu.
 
Mtaji wa ccm ni ujinga na umaskini wa wananchi wake.

Nchi ingekua na wasomi wengi toka miaka hiyo, tusingekua hapa hii leo.
 
Back
Top Bottom