kabwinyola
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 560
- 678
- Thread starter
- #21
Iko powa sanaDaaaah! Video iko poa sana, nimependa zaidi sauti zinavyoendana na wahusika kwenye hii video. Nawapongeza waliotafsiri kwa lugha ya kihaya hii video
Iko powa sanaDaaaah! Video iko poa sana, nimependa zaidi sauti zinavyoendana na wahusika kwenye hii video. Nawapongeza waliotafsiri kwa lugha ya kihaya hii video
Wapiwakati chimbuko lenu ni uganda
SafiSafi sana
Correcthamna asili yao ni sudan kusini
Mtu mmoja aliwahi kusema chimbuko letu ni Ghana. Umewahi kusikia hii?hamna asili yao ni sudan kusini
sijakia hiyo ila vyanzo vingi vinataja wahaya na vinasaba vya wanubMtu mmoja aliwahi kusema chimbuko letu ni Ghana. Umewahi kusikia hii?
Hujanielewa. Nimeongelea sisi, yaani Wakuria mkuu.sijakia hiyo ila vyanzo vingi vinataja wahaya na vinasaba vya wanub
Iwe kasigazi, kweli wamejitahidi sana kuitafsiriDaaaah! Video iko poa sana, nimependa zaidi sauti zinavyoendana na wahusika kwenye hii video. Nawapongeza waliotafsiri kwa lugha ya kihaya hii video
Acha kukaririWahaya bwana ka! Hata ana cheti cha std seven anatamba ana degree
sawa nimekuelewaHujanielewa. Nimeongelea sisi, yaani Wakuria mkuu.
ngoja nicheki vyanzo nikupe uhakikaHujanielewa. Nimeongelea sisi, yaani Wakuria mkuu.
Sawa mkuungoja nicheki vyanzo nikupe uhakika
Ungeelewa video yenyewe ungempuuzia huyo aliye leta uzi na hii heading. Kwenye video ni kuhusu maisha ya Yesu ila narrator katumia kihaya na hakuna cha historia ya wahaya wala nini. Nia yake ni kuleta mjadala utakaofanya watu watukane na kubeza wenzao bila sababu.Wahaya bwana ka! Hata ana cheti cha std seven anatamba ana degree