KUNGUNIMSOMI
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 170
- 161
Em achana na raia wanyonge..mtatifuana tu asubuhi asubuhi yote hii bila faida yoyote...Unajua ili mtu aomboleze kwa ajili yako unakuwa umemgusa kwa namna moja ama nyingine.
Hawa watu JPM aliwafikiaje wakati hakupambania nchi nyingine kama JKN? Au ni watanzania waliopo nje?
Nchi nyingi za kiafrica zinaomboleza kifo cha RAIS MAGUFULI kama unavideo itupie ili tuone..Mimi nimeanza na izi video.
SSema mwamba wa Tanzania, R.I.P JPM
Jaribu kwenda kuwauliza ..Unajua ili mtu aomboleze kwa ajili yako unakuwa umemgusa kwa namna moja ama nyingine.
Hawa watu JPM aliwafikiaje wakati hakupambania nchi nyingine kama JKN? Au ni watanzania waliopo nje?
Nimenyamaza.Em achana na raia wanyonge..mtatifuana tu asubuhi asubuhi yote hii bila faida yoyote...
Hili jibu limekaa kihasira hasira ila ulichonieleza nikichanganya na za kwangu naona umekosa.S
Jaribu kwenda kuwauliza ..