Kwa wale wadau waliosoma mkwawa high school(complex) kwenye miaka 2001-2004 wanakumbuka vichwa hivi tuambiane viko wapi na vinafanya nini sasa?
(1) mr.mbao-huyu alikua headmaster enzi hizo
(2)mr.tende alikua second master mzee wa kosa la kurudiarudia makosa!!
(3)orestes sotta-huyu alikua head prefect 2002 dogo alikua very influential alikua namwaga speach kali sana mkwawa yote inakua kimwa!
(4)pastor mbufwe-kijana mtata sana wa matukio
(5) prof utunguru-binwa wa mazingaombwe pale mkwawa!
(6) mzee chua na nelkon wa makanyagio kwenye mabanzi
na wengine tukumbushane wadau wa mkwawa comlex..dah lilikua bonge la shule hili!!
(1) mr.mbao-huyu alikua headmaster enzi hizo
(2)mr.tende alikua second master mzee wa kosa la kurudiarudia makosa!!
(3)orestes sotta-huyu alikua head prefect 2002 dogo alikua very influential alikua namwaga speach kali sana mkwawa yote inakua kimwa!
(4)pastor mbufwe-kijana mtata sana wa matukio
(5) prof utunguru-binwa wa mazingaombwe pale mkwawa!
(6) mzee chua na nelkon wa makanyagio kwenye mabanzi
na wengine tukumbushane wadau wa mkwawa comlex..dah lilikua bonge la shule hili!!