Mkwawa 1991-94,wameanzisha jumuia ya mkwawa complex mara kwa mara wanakutana.hii jumuia ina connect watu wengi sana.
Wadau!!!!!!!!wa mkwawa hakuna humu???
Kwa wale wadau waliosoma mkwawa high school(complex) kwenye miaka 2001-2004 wanakumbuka vichwa hivi tuambiane viko wapi na vinafanya nini sasa?
(1) mr.mbao-huyu alikua headmaster enzi hizo
(2)mr.tende alikua second master mzee wa kosa la kurudiarudia makosa!!
(3)orestes sotta-huyu alikua head prefect 2002 dogo alikua very influential alikua namwaga speach kali sana mkwawa yote inakua kimwa!
(4)pastor mbufwe-kijana mtata sana wa matukio
(5) prof utunguru-binwa wa mazingaombwe pale mkwawa!
(6) mzee chua na nelkon wa makanyagio kwenye mabanzi
na wengine tukumbushane wadau wa mkwawa comlex..dah lilikua bonge la shule hili!!
Sota yupo kwenye facebook,mambo yake poa siku hizi
Mkuu bado upo nadhani tulikuwa pamoja hapo Mkwawa,,,,,,,,,unawakumbuka man baunsa na man mchafu?
hawa nawakumbuka sana. mkwawa raha sana..