Kuna yule dogo aliepata 7 azania akaenda kusomeshwa bure Mzizima akalewa sifa akaishia kunywa pombe hivi anaitwaje? Nishamsahau!!!!
Pia kuna jamaa alipata 9 akaenda mzizima akapiga 3 akaona ngoja aende oxford kusoma,wale jamaa wakamwambia huna sifa za kujiunga hapa kwanza Afrika nzima kuna nafasi mbili tu,nadhani ni dr muhimbili sasa!
huyo jamaa aliyenda mzizima anaitwa weinzman....hata form six hakumaliza ingawa alipata point seven form four...sad story coz he ended up being a full time alcoholist kule mitaa ya magomeni
Huyo anaitwa Wenzi aka WENZI MAN, nilishawahi kumkuta Shule ya sekondari George Washngton anafundisha, tukiwa tunaongea akasema anataka kujiunga na UDSM mwaka huo (kumbukumbu zinaonyesha ilikuwa 2008). Wakati rika lake walikuwa tayari kwenye ajira
Duh! inasikitisha sana, alafu alipangiwa nadhani Mzumbe au Ilboru dogo hakachomoa! kumbe ndo ameishia huko!
huyo jamaa aliyenda mzizima anaitwa weinzman....hata form six hakumaliza ingawa alipata point seven form four...sad story coz he ended up being a full time alcoholist kule mitaa ya magomeni
Alichagua anachokiweza zaidi.Yap Wenziman,nasikia anakata maji zaidi ya mamba!!
Kuna Mama wa Kihindi alikua anafundisha Kemia LAbs azania ndio alimpa mchongo wa kusoma bure mzizima kumbe ndio kapotelea hukohuko,bora angeenda ilboru angeondoka na tatu yake!!
]Kuna yule dogo aliepata 7 azania akaenda kusomeshwa bure Mzizima akalewa sifa akaishia kunywa pombe hivi anaitwaje? Nishamsahau!!!!
[/COLOR]
Pia kuna jamaa alipata 9 akaenda mzizima akapiga 3 akaona ngoja aende oxford kusoma,wale jamaa wakamwambia huna sifa za kujiunga hapa kwanza Afrika nzima kuna nafasi mbili tu,nadhani ni dr muhimbili sasa!
KABOKA MCHIZI. Ni dokta sasa!!!!!
Kumbe wewe mwanafunzi?
Concentrate on ur studies, hii JF itakulostisha.
kuna msela aliitwa dmx tulimaliza nae 2007........sasa hivi ni dereva wa DALADALA MWENGE---TEGETA....
Kumbe wewe mwanafunzi?
Concentrate on ur studies, hii JF itakulostisha.
Haaaaaaaaa kweli lyf nomaaaaaa,Je mdudu yupo?