Kumbe wewe mwanafunzi?tupo telecom UDSM.
Kumbe wewe mwanafunzi?
Concentrate on ur studies, hii JF itakulostisha.
1. Omari Mtiga
2. Robert (jina la ubini nimelisahau - mweupe mrefu)
3. Ulimboka Stephen (kawa kiongozi wa mgomo wa madokta!)
1. Omari Mtiga
2. Robert (jina la ubini nimelisahau - mweupe mrefu)
3. Ulimboka Stephen (kawa kiongozi wa mgomo wa madokta!)
Nikumbushe
Je, unamkumbuka KABOKA mtoto wa Mbagala?
Huyu msela alisoma O-leval na A-leval Azania kisha akaenda Muhimbili (medicine), huyu msela alikuwa noma! sijui ata kama alimaliza Muhimbili!
Unanikumbusha mchizi wangu mmoja Bush dokta Biambax kweli Azania kulitoka vichwa vilivyopinda? Ben hupo wapi mtu wangu?
Olevo azania Advance Tambaza! Ni dokta sasa!! Kaboka Mchizi aka Faraja David
Ni vya enzi za Kwayu hivyo - naam enzi za Mitimingi na Mchwampaka bila kumsahau Mama Semhando na Mwalimu Ramadhani