Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

Masikin DMX msela mavi kawa dereva wa daladala alifail mtihani wa form 2 ila mtiga anafundisha tuition AZABOY mhuri wa kijani raman ya Afrika mfukon mwa shati.School anthem tone tamu kushinda National anthen ya USA.

Kichwa Mtiga nini kilimtokea huku ALUMNI - Tanzania ?
 
Je mnamkumbuka Humpherey Polepole yule mtaalam wa kingereza Azania yote. Alituwakilisha kwenye midahalo mingi ya kitaifa na ya kimataifa. Nasikia siku hizi ni Mwanaharakati. Halafu kuna kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA tumesoma nae hapo Azaboys. Mnamkumbuka yule headboy ambae alikuwa hajui kiswahili hata kidogo. Alikuwa anapata shida siku ya School baraza. Niliumia sana baada ya serikali kuifanya Azania kuwa shule ya mchanganyiko upande wa A-level. Wangebakisha Boys only.

Humphrey alisoma adv benjamin mkapa na sasa hivi ni mwenyekiti wa tanzania youth coalition iko k'nyama.jmaa wa chadema anaitwa mwita mwikwabe aliwah kuwa rais wa ud pia kwa nyakati tofaut aliwa kugombea u GS azaboy akaukosa,head boy aliyekua hajui kiswahili alikua anaitwa dharmesh patel,mi nlisoma pale a & o level.naskia adv imerudishwa kubwa boys ila kuna combination zaidi ya pcm.
 
Humphrey alisoma adv benjamin mkapa na sasa hivi ni mwenyekiti wa tanzania youth coalition iko k'nyama.jmaa wa chadema anaitwa mwita mwikwabe aliwah kuwa rais wa ud pia kwa nyakati tofaut aliwa kugombea u GS azaboy akaukosa,head boy aliyekua hajui kiswahili alikua anaitwa dharmesh patel,mi nlisoma pale a & o level.naskia adv imerudishwa kubwa boys ila kuna combination zaidi ya pcm.

ahsante kwa taarifa mkuu,kuna umuhimu wa kuanzisha Azania sec. Leavers Members kwenye Jamíi Forum kwa kuwa tupo wengi sana.
 
Mi Najikumbuka mwenyewe kwa Namba miaka ya 1996,
Ticha mnoko Tokyo, Mchwampaka,
Headboy Mwita Mwikwabe wa CDM,
Juisi kwa Mkemia pale nje ya fensi, mabarafu sijui alikua anayatoa wapi yule jamaa,
Kituo Faya kila full kujimiks na watoto wa Jangwani mixer Zanaki,
Bila kusahau bifu na watoto wa Jiteute baada ya Tambaza kuondolewa A-Lavel,

Mabishoo nao
 
kaboka 2lipiga nae kwa Mbuga,full kideo hata mia ya pindi halikua hana,noma kijana..

Nakumbuka tulikuwatunapiga tuiti kwa Mudi, yaani Boka akisikia Mudi to anamalizia pindi (From this particular juncture let end up here) BOKA akisikia sentensi hiyo, anatoka nduki! ni kweli alikuwa anasoma bure mapindi yote, BoKa alikuwa noma sana.
 
ulikuwa unavaa lebo ya bluu au nyekundu?
kwa wale mliosoma kabla hizi lebo za blue na nyekundu hazijaanza (back 1980s), naomba mnikumbushe jina la yule mwalimu chapombe, alikuwa anafundisha hesabu (nadhani na Geography). Alikuwa akija darasani hana kitabu wala notsi lakini nondo anazoshusha ni balaa. Alikuwa tall kila wakati midomo na mikono inatetemeka....hahahahaa... aliishia wapi yule jamaa? Nadhani atakuwa mzee sana sasa kama gongo haijammaliza. Natamani hata siku moja nikutane naye nimwambie asante kwa nondo zake za hesabu alizokuwa anashusha.
 
Mi Najikumbuka mwenyewe kwa Namba miaka ya 1996,
Ticha mnoko Tokyo, Mchwampaka,
Headboy Mwita Mwikwabe wa CDM,
Juisi kwa Mkemia pale nje ya fensi, mabarafu sijui alikua anayatoa wapi yule jamaa,
Kituo Faya kila full kujimiks na watoto wa Jangwani mixer Zanaki,
Bila kusahau bifu na watoto wa Jiteute baada ya Tambaza kuondolewa A-Lavel,

Mabishoo nao

Hivi Tambaza waliondoa A-Level au O-Level? nakumbuka enzi za akina Dude (Tambaza), Nondo (Azania) na wengine, ugomvi ulikuwa hauishi ...du tumetoka mbali kwelikweli
 
Nakumbuka tulikuwatunapiga tuiti kwa Mudi, yaani Boka akisikia Mudi to anamalizia pindi (From this particular juncture let end up here) BOKA akisikia sentensi hiyo, anatoka nduki! ni kweli alikuwa anasoma bure mapindi yote, BoKa alikuwa noma sana.


U mida mingine mudi alikua nakikaribia kumaliza pindi anajifanya ana state law flani mfano ohms law alafu akikaribia mlango anasema at this particular juncture......anakuwa ashawapata masela wa azaboy wanaomkimbiaga..mnamkumbuka mzee valonge wa physics lab alikua anawapa mbata(piga makofi) watu walio kuwa wanatetemeka kwenye kuunga vifaa wakati wa practical,bila kusahau vituko vya mlevi tokyo...juzi kati nlimuona pale bar ya polisi msimbazi night yuko bwiii kama kawa...
 
Naona hii thread ya Azania not Aza boy kwani now ina mademu..............hapo napita njia tu. Ila story zenu nimezipenda sana.
 
Jamaa alikuwa best yangu sana...:poa! bila kumsahau Mama Shija

Aisee Mwalimu Ramadhani natamani sana kumuona nimshukuru, nimeshamshukuru Mwalimu Mbaga kwa kumpa kitabu nilichohariri!
 
kwa wale mliosoma kabla hizi lebo za blue na nyekundu hazijaanza (back 1980s), naomba mnikumbushe jina la yule mwalimu chapombe, alikuwa anafundisha hesabu (nadhani na Geography). Alikuwa akija darasani hana kitabu wala notsi lakini nondo anazoshusha ni balaa. Alikuwa tall kila wakati midomo na mikono inatetemeka....hahahahaa... aliishia wapi yule jamaa? Nadhani atakuwa mzee sana sasa kama gongo haijammaliza. Natamani hata siku moja nikutane naye nimwambie asante kwa nondo zake za hesabu alizokuwa anashusha.

jina lake aliitwa Yengela.
 
Mimi sitasahau wanafunzi waliomaliza o-level mwaka 1997, waliweka rekodi ya division one 124, rekodi hii haijavunjwa mpaka leo hapo Azania. Tena wawili kati yao walipata one points 7, mmoja kati yao ya waliopata one ya 7 ni member wa Jamíi forum.
 
Mimi sitasahau wanafunzi waliomaliza o-level mwaka 1997, waliweka rekodi ya division one 124, rekodi hii haijavunjwa mpaka leo hapo Azania. Tena wawili kati yao walipata one points 7, mmoja kati yao ya waliopata one ya 7 ni member wa Jamíi forum.
 
Kumbe hivi vichwa vya juzi tu. Nilifikiri vichwa vya zamani enzi za ANDREW KWAYU.
We Omary Mtiga ni enzi zetu za Mzee Kwayu. Hilo darasa mzee asikwambie mtu, tulikuwa tunaitwa umoofia au warm c yaani huku kuna omary mtiga, Simon Samson, Ambwene Ligate, Ah achaa tuu that was form four c
 
Mi Najikumbuka mwenyewe kwa Namba miaka ya 1996,
Ticha mnoko Tokyo, Mchwampaka,
Headboy Mwita Mwikwabe wa CDM,
Juisi kwa Mkemia pale nje ya fensi, mabarafu sijui alikua anayatoa wapi yule jamaa,
Kituo Faya kila full kujimiks na watoto wa Jangwani mixer Zanaki,
Bila kusahau bifu na watoto wa Jiteute baada ya Tambaza kuondolewa A-Lavel,

Mabishoo nao

Kuna maticha hawa:
Matley-Hesabu
FUVU-Hesabu
Matawa-Kiswahili & Geograph
Mgude-Chemistry
Mkongo-Physics
Hivi Tokyo(jina alilipata kwa ajili ya kuvaa suruali za Tokyo) hivi anaitwa nani jina lake halisi na alikua anafundisha somo gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom