Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Ni Mbunge wangu wa jimbo la Musoma Mjini. Ni kijana machachari asiependa kujionyesha wala kujikweza. Anazijua vizuri sana siasa chafu za bongo hasa zile majitaka za magamba na anazicheza vyema. Kijana yupo focused sana katika siasa za maendeleo etc kwa wale msiomjua habari ndio hiyo, kwetu musoma jamaa ni maarufu kwa jina la "INVISIBLE NYERERE". Nategemea atafanya makubwa sana Arumeru Mashariki!
Kwa Musoma anaishi opposite na Ofisi za Mohamed Trans zamani Scandinavia ila shughuli zake kabla ya kuingia kwenye siasa za kimagwanda sizikumbiki vizuri... hebu nikumbushe mkuu.