Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Ni Mbunge wangu wa jimbo la Musoma Mjini. Ni kijana machachari asiependa kujionyesha wala kujikweza. Anazijua vizuri sana siasa chafu za bongo hasa zile majitaka za magamba na anazicheza vyema. Kijana yupo focused sana katika siasa za maendeleo etc kwa wale msiomjua habari ndio hiyo, kwetu musoma jamaa ni maarufu kwa jina la "INVISIBLE NYERERE". Nategemea atafanya makubwa sana Arumeru Mashariki!