GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Ni Mbunge wangu wa jimbo la Musoma Mjini. Ni kijana machachari asiependa kujionyesha wala kujikweza. Anazijua vizuri sana siasa chafu za bongo hasa zile majitaka za magamba na anazicheza vyema. Kijana yupo focused sana katika siasa za maendeleo etc kwa wale msiomjua habari ndio hiyo, kwetu musoma jamaa ni maarufu kwa jina la "INVISIBLE NYERERE". Nategemea atafanya makubwa sana Arumeru Mashariki!
Ukizungumza maneno haya kwa sie wenye akili wachache hatukuelewi kabisa. Mie mwenyewe na mashaka na upeo wa Vicent kwani hata shule yake ndogo sana mkuu, soma cv yake iliisha wekwa humu jamvini. Jamaa ni mweupe na mwepesi Kama pamba