Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
Habari zenu wakuu!
Nipo maeneo ya Manispaa Ilala varangati kubwa linaendelea walimu wapya wanadai mishahara yao.
Kama inavyozoeleka serikali hii ovu ya CCM mwaka huu imeamua kuwadhulumu kabisa walimu hawa mishahara yao ya mwezi wa pili.
Tayari walimu wameshaonana na afisa utumishi na majibu aliyotoa ni ubabaishaji mtupu.
Afisa huyo amedai mishahara haitakuwepo kwa mwezi huu kwakua imeshindikana ku scan majina ya walimu kwenye computer na kuyatuma hazina kwa kuwa network ipo slow.
Walimu wamechachamaa wanahoji iweje wenzao wa Mwanza, Mara, Singida wapate halafu wao wa Dar wakose?
Mpaka sasa walimu wapo hapa na wamesema uovu wa serikali ya ccm sasa basi, hawaondoki mpaka kieleweke wameshavamaia ofisi ya mkurugenzi wanamsubiri afike.
Je mishahara ya walimu hawa ndio imetengwa kwa kampeni Arumeru??
Kitakachoendelea nitawajuza.
Nipo maeneo ya Manispaa Ilala varangati kubwa linaendelea walimu wapya wanadai mishahara yao.
Kama inavyozoeleka serikali hii ovu ya CCM mwaka huu imeamua kuwadhulumu kabisa walimu hawa mishahara yao ya mwezi wa pili.
Tayari walimu wameshaonana na afisa utumishi na majibu aliyotoa ni ubabaishaji mtupu.
Afisa huyo amedai mishahara haitakuwepo kwa mwezi huu kwakua imeshindikana ku scan majina ya walimu kwenye computer na kuyatuma hazina kwa kuwa network ipo slow.
Walimu wamechachamaa wanahoji iweje wenzao wa Mwanza, Mara, Singida wapate halafu wao wa Dar wakose?
Mpaka sasa walimu wapo hapa na wamesema uovu wa serikali ya ccm sasa basi, hawaondoki mpaka kieleweke wameshavamaia ofisi ya mkurugenzi wanamsubiri afike.
Je mishahara ya walimu hawa ndio imetengwa kwa kampeni Arumeru??
Kitakachoendelea nitawajuza.