Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Hivi mwanamke mzuri ni yupi? Nini sifa za mwanadada mzuri? Je, kuna mwanamke mbaya? Wataalamu wa kuchambua mambo naomba kupata maoni yenu.
bibie King'asti Hakuna cha changudoaKwa hiyo MziziMkavu hakuna changudoa alie mzuri?
The Beauty of a woman depends on the eyes of a beer holder.
bibie King'asti Hakuna cha changudoa
wala kiwete wala kiguru,wala kipofu, wote ni Viumbe wa Mungu. Mwenyeezi Mungu hajakosea kumuumba
binadamu na kisha kumpa nusu kiungo Nusu-nusu mwili wake kila binadamu ni mzuri. Mbaya kwako changudoa mzuri kwa
mwenzako huyohuyo changudoa. Mbaya kwako mwenye kiguru mzuri kwa mwenzako. wewe unasema wanini
Mwenzako anasema atampata lini? Ninarudia tena kusema Uzuri Mtu ni Tabia yake.
Kwa hiyo MziziMkavu hakuna changudoa alie mzuri?
The Beauty of a woman depends on the eyes of a beer holder.
Hivi mwanamke mzuri ni yupi? Nini sifa za mwanadada mzuri? Je, kuna mwanamke mbaya? Wataalamu wa kuchambua mambo naomba kupata maoni yenu.
Hivi mwanamke mzuri ni yupi? Nini sifa za mwanadada mzuri? Je, kuna mwanamke mbaya? Wataalamu wa kuchambua mambo naomba kupata maoni yenu.