Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,133
- 20,295
Wakuu hii imekaaje, yaani Mwanamke akishakuwa mzuri tu basi unakuta ni Mdangaji?
Hivi hawawazi kuhusu future zao? Au wana guarantee?
Yaani ukikuta mzuri basi ana wanaume zaidi ya 50, anauza Baa, unamkuta kwenye madanguro au anajiuza.
Hii inanishangaza ni uzuri wao unawashawishi au Upstairs ndio kuna tatizo?
Shida zaidi inakuja hata kwa wale wasomi, tungesema hawa Wa Mwananyamala ni sababu ya njaa na Low IQ.sasa hawa wanaojiweza kifedha na Elimu shida ni nini?
Hivi hawawazi kuhusu future zao? Au wana guarantee?
Yaani ukikuta mzuri basi ana wanaume zaidi ya 50, anauza Baa, unamkuta kwenye madanguro au anajiuza.
Hii inanishangaza ni uzuri wao unawashawishi au Upstairs ndio kuna tatizo?
Shida zaidi inakuja hata kwa wale wasomi, tungesema hawa Wa Mwananyamala ni sababu ya njaa na Low IQ.sasa hawa wanaojiweza kifedha na Elimu shida ni nini?