Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,767
- 21,199
- Thread starter
- #241
Kuna mdau ndani ya thread hii ameelezea vizuri zaidi, it does wellNaona utafiti usio rasmi wa wadau unaweza kuanzia hapa
Gonjwa linatisha
Kuna mdau ndani ya thread hii ameelezea vizuri zaidi, it does wellNaona utafiti usio rasmi wa wadau unaweza kuanzia hapa
Gonjwa linatisha
Chango,kusafisha uzaziKuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
Unaitwa mzungwa
Uchungu wake wa kawaida sana.Huu kwetu tunaita mravumba ni mzuri ila ni mchunga sana
Kila baada ya kupiga mswaki kwa dawa ya kawaida kamulia maji ya limao kwenye mswaki na piga tena mswaki hasahasa kwenye ulimi 👅 na sehemu ya juu ya kinywa (roof of the mouth)Wakuu mwenye dawa ya kuondoa harufu mbaya ya kinywa
Kuna jani fulani kimeshatupiwa hapa awali linatibu gas za tumbo kwa 100%" au wafuate masai kuna mzizi fulani huwa nayo minene usawa wa kidole meupe huliwa maganda yake ya nje nayo ni nzuri mno kwa gas za tumbo.Dawa ya gesi inayosababishwa na kula maharage au nafaka zingine za kunde tafadhali
Hiyo kijijini ni dawa ya kutoa mimbaKuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
"Kuna wanaoamini uchungu ndio dawa"Sijaona muarobaini mpk sasa. ..
Papai bichi how unasaga na maganda au unamenya mkuu?Low sperms count for men:-
Saga papai bichi na mbegu zake weka na maji safi kiasi uwe unatumia mchanganyiko huu asb na jioni baada ya siku 30 utapata matokeo yake.
Unamenya mkuu!Papai bichi how unasaga na maganda au unamenya mkuu?