carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,489
- 285,371
Yupo pande hizo ndio maana anapatikana mida mibovu
Yupo pande hizo ndio maana anapatikana mida mibovu
Yani huyu hata avae gunia lazima lionekane lol!Siyo photoshop shemeji. Ni huyu hapa chini. Naona alizidishiwa tu ♂️♂️♂️...
Kwa jinsi anavyo jali,hakika Mungu atamfikisha mbali sana.Akiuliza hali ya mgonjwa hadi unahisi mtu aliye kujulia ni mtu wa karibu sana kwenye familia.Carba na Shimba mkiniulizia hali baba,machozi yananitokaga sana,maana nina watu niliozaliwa nao ni zaidi ya mwaka hawajawahi kuulizia hali.Mbarikiwe sanaOK. Ni vizuri kujua haya mambo mkuu. Leo hii mahesabu ya biashara ya nyanya yakinigomea nakuletea unaniangalizia. Nikiwa na wazo la ujasiriamali naenda kwa Mark Msue. Nikikwama kwenye Forex nakimbilia kwa Mzee wa Liva. Ufugaji wa ng'ombe na kuku natimkia kwa Mpare...Ndiyo faida ya haya mambo ya mtandaoni.
Amekuwa akiniulizia mara kwa mara kuhusu afya ya mama na sikuwahi kufikiri kuwa yuko pande hizo. Na kwa jinsi alivyo simpo, ucheshi na utani hata sikuwazia. Nimefurahi kulijua hili...
Usinipangee...Wewe ndio
HayakuhusuMmmhhhh
Mungu yupo upande wako,nakuombea sana mamaanguSoon nitakuwa MD Mungu akiniweka hai
Na uchawi labda
Amina andjulKwa jinsi anavyo jali,hakika Mungu atamfikisha mbali sana.Akiuliza hali ya mgonjwa hadi unahisi mtu aliye kujulia ni mtu wa karibu sana kwenye familia.Carba na Shimba mkiniulizia hali baba,machozi yananitokaga sana,maana nina watu niliozaliwa nao ni zaidi ya mwaka hawajawahi kuulizia hali.Mbarikiwe sana
nilete ushahidi?mana umetajwa etUsinipangee...
We naweeeeHayakuhusu
Amin nashukuru sanaMungu yupo upande wako,nakuombea sana mamaangu
we njoo tu halafu hiyo rada itakuwa mbovu hiyoWe ngoja tu, kwanza leo nakuona wewe kwenye rada yangu! Ngoja nipande ungo wangu nikuibukie hapo! !
Ishi na watu vizuri, utafanikiwa tuAmina andjul
Mimi kwa kweli nilifanya kumshitua SYB kuwa huku tayariiii... Kosa liko wapi?ho chi minh kanishitua leo kuwa nsamaka anang'ang'aniwa na midume miwili(Bob na moud)nikajitokeza...nilete ushahidi?mana umetajwa et
nakosa cha kuandika ujueIshi na watu vizuri, utafanikiwa tu
Hapo sawa ila nimeona mkeo anamtumia salamu za makopa kopa mzee wa tmk sijui ulikuwa wapi aiseehMimi kwa kweli nilifanya kumshitua SYB kuwa huku tayariiii... Kosa liko wapi?ho chi minh kanishitua leo kuwa nsamaka anang'ang'aniwa na midume miwili(Bob na moud)nikajitokeza...
View attachment 576927rudia tena umesemaaa??
Embu na wewe utatufanya tule ugali kwa picha ya samaki!