andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,711
- 119,611
Nasubiri,ninavyo penda mambo haya, kesho naenda zitia piko nywele zangu.Nani anautaka uzeeSubiri nikautafute
Nasubiri,ninavyo penda mambo haya, kesho naenda zitia piko nywele zangu.Nani anautaka uzeeSubiri nikautafute
Huu apaHapana,embu nionyeshe
Na yule dada yaoColonoscopy na anda eitiini wapi na wapi? Ila na wewe mkuu nadhani unasomea uelekeo huu huu. Hints za hapa na pale zinaonyesha hivyo. Na kale ka kishua. Safi sana !!!
we naweeee,asanteHivi ulikuwa hujamstukia? Mimi machale yalishanicheza kitambo! Nilihisi siku nyingi tu kwamba huyu atakuwa kwenye sekta ya afya! Hitimisho langu likawa kwamba huyu atakuwa ni nurse, well, sikuwa mbali sana na ukweli! Congrats to her!
Nani huyo shemeji?Na yule dada yao
uzee mwisho mwanjelwaNasubiri,ninavyo penda mambo haya, kesho naenda zitia piko nywele zangu.Nani anautaka uzee
Vya ukweli vya ukweli tena useme ukweli carba,hata huto tumshikio hauna?
flati nimekwambia mbona wantafuta maneno lakiniVya ukweli vya ukweli tena useme ukweli carba,hata huto tumshikio hauna?
Hapana,embu nionyeshe
Wee mlima nyoka hata uyole hauingiiuzee mwisho mwanjelwa
we naweeee,asante
sawa mzee kijanaWee mlima nyoka hata uyole hauingii
Mkuu huko mna injoimo
andjul naomba uniambie ile simu pale juu ya kiti ni aina gani
dooh na kweli lakiniUnajua ukiwa humu JF, lazima uwe kama sungura! Unalala huku ukiwa umekodoa macho!
Next week naja mjini,mchele,viazi,ndizi najitolea kukuletea,agiza vingine...siriaziflati nimekwambia mbona wantafuta maneno lakini
MaparachichiNext week naja mjini,mchele,viazi,ndizi najitolea kukuletea,agiza vingine...siriazi
Naogopa kusutwa asubuhiNani huyo shemeji?
Tuje tutafutane mkuu, japo mi nakaribia kugeuza kwenda zangu Mbagala/Koromije. Uko jimbo gani?Unajua ukiwa humu JF, lazima uwe kama sungura! Unalala huku ukiwa umekodoa macho!
. Ngoja nijaribu kuihamishia jukwaa husika.
NB: Unaweza kuwa na hoja ya muhimu sana kuliko hoja zote zilizowahi kutolewa hapa duniani lakini kama unatumia nguvu kupita kiasi, unatumia lugha yenye ukakasi...watu wanaweza wasiipe uzito unaostahili hoja yako. Kuna mtu mmoja ana hoja nzuri mno lakini hoja zake wakati mwingine zinapotelea hewani kutokana na mihemko, matusi na jazba...