Uzembe wa Wauguzi wadaiwa kusababisha mtoto mchanga kuvunjika mkono wakati mama mtu akijifungua Hospitali ya Magunga - Tanga

Kayugumis

Member
Jun 6, 2022
85
63
UZEMBE KWA WAJAWAZITO WAKATI WA KUJIFUNGUA ULIOPELEKEA MTOTO MCHANGA KUVUNJIKA MKONO KATIKA HOSPITALI YA MAGUMGA WILAYANI KOROGWE KATA YA MAGUMGA

Mama aliyejifungua mtoto siku ya tarehe 15/01/2024 katika hospitali ya Magunga ameshindwa kuruhusiwa mpaka leo hii kutokana na tukio la mtoto wake mchanga KUVUNJIKA MKONO kutokana na Uzembe wa wauguzi ambapo wakati mtoto anazaliwa walikuwa bize na mambo mengine badala ya kumsaidia mama mjamzito na hivyo kupelekea mtoto huyo KUVUNJIKA MKONO

Mpaka sasa hali ya mtoto huyo sio nzuri kwani anapitia maumivu ambayo yamepelekea MKONO kuvimba

Jina la mama aliyejifungua ni Maliam Bakari

Yupo wodi ya wamama

MAONI
Hospitali hii ina matukio mengi ya kimatibabu hususan kwenye kitengo cha uzazi. Siku kadhaa nyuma kuna wanawake watano waliofanyiwa upasuaji wa uzazi kwa nyakati tofauti lakini kila ilipopita siku tatu au nne walianza kuvimba matumbo na wawili Kati yao wamefariki na mmoja tarehe 14/01/2024 alipelekwa BOMBO baada ya hali yake kuwa mbaya sana na wawili waliyobaki nao matumbo yao yamevimba na inasemekana wawili waliyofariki na yule aliyepelekwa BOMBO tumbo likivimba nyuzi huwa zinaachia kwahiyo hawa madaktari na wauguzi wa hospital hii wanatakiwa kuwajibishwa sana kwa ukatili huo.

Majibu ya Serikali, soma hapa = Tanga: Serikali yaunda timu kuchunguza madai ya uzembe Hospitali ya Bombo yaliyosababisha kifo cha Mwanafunzi
 
UZEMBE KWA WAJAWAZITO WAKATI WA KUJIFUNGUA ULIOPELEKEA MTOTO MCHANGA KUVUNJIKA MKONO KATIKA HOSPITALI YA MAGUMGA WILAYANI KOROGWE KATA YA MAGUMGA

Mama aliye jifungua mtoto siku ya tarehe15/01/2024 katika hospital ya magunga ameshindwa kuruhusiwa mpaka Leo hii kutokana na tukio la mtoto wake mchanga KUVUNJIKA MKONO kutokana na Uzembe wa wauguzi ambapo wakati mtoto anazaliwa walikuwa bize na mambo mengine badala ya kumsaidia mama mjamzito na hivyo kupelekea mtoto uyo KUVUNJIKA MKONO

Mpaka sasa hali ya mtoto uyo sio nzuri kwani anapitia maumivu ambayo yamepelekea MKONO kuvimba

Jina la mama aliye jifungua ni Maliam Bakari

Yupo wodi ya wamama

MAONI
Hospital hii ina matukio mengi ya kimatibabu hususani kwenye kitengo cha uzazi siku kadhaa nyuma kuna wanawake watano waliofanyiwa upasuaji wa uzazi kwa nyakati tofauti lakini kila ilipopita siku tatu au nne walianza kuvimba matumbo na wawili Kati yao wamefariki na mmoja tarehe 14/01/2024 alipelekwa BOMBO baada ya hali yake kuwa mbaya sana na wawili waliyobaki nao matumbo yao yamevimba na inasemekana wawili waliyofariki na yule aliyepelekwa BOMBO tumbo likivimba nyuzi huwa zinaachia kwahiyo hawa madaktari na wauguzi wa hospital hii wanatakiwa kuwajibishwa sana kwa ukatili huo.
MAGUMGA 🤔?

Moderator ,Rekebisha heading Tafadhali 🤝
 
Uchunguzi unatakiwa ufanyike hapo...
Nani afanye uchunguzi? Hii hii serikali mbovu ya Samia? Haya matukio yanatokea kila siku. Wananchi wanatakiwa kuunga mkono maandamano kwa nguvu zote ili tupate viongozi bora.
 
Inasikitisha sana
Siku hizi wala sisikitiki tena. Mambo mengine ni kama ya kujitakia. Wananchi tunatakiwa tuchukuwe action. Yakitokea matukio kama hayo tukichoma magari ya mkuu wa mkoa na ofisi yake mara mbili watashika adabu. Vinginevyo, kila mtu ni suala la wakati tu, lakini atapatwa na ''ajali'' yake.
 
UZEMBE KWA WAJAWAZITO WAKATI WA KUJIFUNGUA ULIOPELEKEA MTOTO MCHANGA KUVUNJIKA MKONO KATIKA HOSPITALI YA MAGUMGA WILAYANI KOROGWE KATA YA MAGUMGA

Mama aliyejifungua mtoto siku ya tarehe 15/01/2024 katika hospitali ya Magunga ameshindwa kuruhusiwa mpaka leo hii kutokana na tukio la mtoto wake mchanga KUVUNJIKA MKONO kutokana na Uzembe wa wauguzi ambapo wakati mtoto anazaliwa walikuwa bize na mambo mengine badala ya kumsaidia mama mjamzito na hivyo kupelekea mtoto huyo KUVUNJIKA MKONO

Mpaka sasa hali ya mtoto huyo sio nzuri kwani anapitia maumivu ambayo yamepelekea MKONO kuvimba

Jina la mama aliyejifungua ni Maliam Bakari

Yupo wodi ya wamama

MAONI
Hospitali hii ina matukio mengi ya kimatibabu hususan kwenye kitengo cha uzazi. Siku kadhaa nyuma kuna wanawake watano waliofanyiwa upasuaji wa uzazi kwa nyakati tofauti lakini kila ilipopita siku tatu au nne walianza kuvimba matumbo na wawili Kati yao wamefariki na mmoja tarehe 14/01/2024 alipelekwa BOMBO baada ya hali yake kuwa mbaya sana na wawili waliyobaki nao matumbo yao yamevimba na inasemekana wawili waliyofariki na yule aliyepelekwa BOMBO tumbo likivimba nyuzi huwa zinaachia kwahiyo hawa madaktari na wauguzi wa hospital hii wanatakiwa kuwajibishwa sana kwa ukatili huo.

Majibu ya Serikali, soma hapa = Tanga: Serikali yaunda timu kuchunguza madai ya uzembe Hospitali ya Bombo yaliyosababisha kifo cha Mwanafunzi
wauguzi wote wafukuzwe kazi au unasemaje mkuu😊
 
Back
Top Bottom