Jagiya
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,126
- 1,577
Ya Richard yametimia jamaa ni litapeliHayaa naona Richard kaamua kuzima na simu kabisa maana hapatikani...
Xulu akiwa hana hofu na kuendelea na mikakati yake bila kujua kinacho endelea kuhusiana na richard..
xulu akiwa kwenye maongezi na ayanda kuhusu party..anamtaka ayanda ahakikishe baba yake hakosi kuudhuria party hiyo hata iweje.
Mxo nae anapata wivu baada ya kumkuta nombuso kanisani wakiwa wanaimba na ayanda...anaonyesha kutopendezwa na jambo hilo kisha kuondoka.
Sbu anafikishwa kituoni na kuwa mikononi mwa dhlomo
mastermind anashikiliwa na afande dhlomo na kupelekwa kituoni..xulu anamuahidi mastermind kuyamaliza yote hivyo asiwe na shaka.
mxo anajaribu kwa mara nyingine kumpigia richard bila mafanikio
mxo niliona kama kakurupuka sana naona lawama za mwanzoni zitaanza mrudia upya kutoka kwa xuluYa Richard yametimia jamaa ni litapeli
Xulu ataweza firisika aseeh
Anatoa pesa hovyo
Sasa mxo ataanza kuelewa vizuri maneno ya mzee wake biashara lazima iwe na unyama ndani..
Kamfirisi mzee wake pumbavu huyu
Akamaind pale nombu alipokuwa anamsifia ayanda sema ata mi ngemaind
nasubiri kwa hamu kubwa huo mtanangePastor kampa hasira mastermind na xulu kashahesabika snitch sasa ajiandae kwa mawindo
shukran kwa taarifa yako pendwa 👏Top rated soapie of all time pale SA ni Generations: The legacy. Uzalo ndo tamthilia ya kwanza kuing'oa kileleni Generations. Kuna wakat huwa inapoa na tena kupanda kileleni.
Ni tamthilia Kali kuliko isidingo. Isidingo ratings zilishuka sana ndo maana ikatamatishwa. Mim nafuatilia Uzalo online kila siku so niko episodes za mbele.
Msikate tamaa, hii tamthilia nzuri sana
Hatuchomoki hapa mdau mpaka mwisho wa reli..Top rated soapie of all time pale SA ni Generations: The legacy. Uzalo ndo tamthilia ya kwanza kuing'oa kileleni Generations. Kuna wakat huwa inapoa na tena kupanda kileleni.
Ni tamthilia Kali kuliko isidingo. Isidingo ratings zilishuka sana ndo maana ikatamatishwa. Mim nafuatilia Uzalo online kila siku so niko episodes za mbele.
Msikate tamaa, hii tamthilia nzuri sana
xulu Safari hii akichomoka ni maajabu inaonekana dhlomo hana utaniNi wazi sasa Mr xulu anakaribia kushtakiwa Maana sbu kashakamatwa na Uko tyr kutoa information zote kuhusu biashara ya xulu,
Nombuso ni pisi Kali Kweli, ayanda ananyapia nyapia kimtindo mpaka attention yake kwa nkule imepungua,xulu Safari hii akichomoka ni maajabu inaonekana dhlomo hana utani
Mxolisi na ayanda kitawaka siku nyingine wataweza kuzipiga hawa,,
Sema nombuso pisi kali
Mxolisi ameamua aubebe uu msala kmya kmya Maana kumwambia ghabashe pesa yote ile imetapeliwa si Jambo dogo na ukizingatia ye ndo amemforce mzee wake wawekeze io pesa Daah Cjui itakuwajeivi kwanini mxo anataka kulibeba jambo hili peke yake..? au ndio kuogopa msala kwa mzee?
pastor sasa anapoelekea ni kujenga uhasama wa wazi...yale sio mahubiri kabisa☹️☹️
Asiyeskia la mkuu?Mxolisi ameamua aubebe uu msala kmya kmya Maana kumwambia ghabashe pesa yote ile imetapeliwa si Jambo dogo na ukizingatia ye ndo amemforce mzee wake wawekeze io pesa Daah Cjui itakuwaje
Pastor anataka kuchangamsha movieivi kwanini mxo anataka kulibeba jambo hili peke yake..? au ndio kuogopa msala kwa mzee?
pastor sasa anapoelekea ni kujenga uhasama wa wazi...yale sio mahubiri kabisa☹️☹️