Jamaa alitisha!Uko vizuri man.
Jf kiboko.Yametimia
Hahaha
🙋♂️Duuh . . . . sijaona kama anaweza mkoa wa Dar es Salaam.
Dar es Salaam inataka mkuu wa mkoa ambaye ni strategic.
Imeshaiva!
Dar ndiyo Korogwe siku hizi?Jocate atakuwa mkuu wa mkoa Dar.
Bado kijana,ipo siku inakuja atakuwa mkuu wa mkoa.Tena mabadiliko yajayo atakuwa mkuu wa mkoa hata kama ni Katavi.Dar ndiyo Korogwe siku hizi?
Yote umeandika vzr ila hapo mwishoni umeharibu kila kitu!Ni wazi kwamba baada ya Makonda pale Dar es salaam Chalamila ndiye atakaye fuata.Kwanini?
Ndiye kipenzi cha mkulu baada ya Makonda.
Ndiye mwenye uthubutu wa wazi wa kupambana na wapinzani (hii ni sifa kuu)!
Ndiye RC (Tiss) aliyeiva katika eneo la propaganda!
..........!
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Wewe utakuwa nani?Bado kijana,ipo siku inakuja atakuwa mkuu wa mkoa.Tena mabadiliko yajayo atakuwa mkuu wa mkoa hata kama ni Katavi.
Wachawi kweli wapoNi wazi kwamba baada ya Makonda pale Dar es salaam Chalamila ndiye atakaye fuata.Kwanini?
Ndiye kipenzi cha mkulu baada ya Makonda.
Ndiye mwenye uthubutu wa wazi wa kupambana na wapinzani (hii ni sifa kuu)!
Ndiye RC (Tiss) aliyeiva katika eneo la propaganda!
..........!
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Bado kijana,ipo siku inakuja atakuwa mkuu wa mkoa.Tena mabadiliko yajayo atakuwa mkuu wa mkoa hata kama ni Katavi.
Jocate atakuwa mkuu wa mkoa Dar.
Shikamoo Mzee wa Republican🤪🥴🤔Duuh . . . . sijaona kama anaweza mkoa wa Dar es Salaam.
Dar es Salaam inataka mkuu wa mkoa ambaye ni strategic.
Upo mzee?!Duuh . . . . sijaona kama anaweza mkoa wa Dar es Salaam.
Dar es Salaam inataka mkuu wa mkoa ambaye ni strategic.
HahahaShikamoo Mzee wa Republican🤪🥴🤔
Du!Namaanisha ndiye afisa wa Idara ya Usalama waTaifa aliyeiva haswa katika eneo la propaganda.
Bado kijana,ipo siku inakuja atakuwa mkuu wa mkoa.Tena mabadiliko yajayo atakuwa mkuu wa mkoa hata kama ni Katavi.
Kaeni na CCM yenu hukoUpo mzee?!