KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wakuu JF wazima nimatumaini yangu,
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020
Kwa Huruka yake unyanyasaji na ukatili kwa wapinzani na hadi kufikia kuvamia vituo vya Habari wote ni Mashaidi.
Akastaafu maneno ya kasemwa yeye akawa kimya hadi wengine walidriki kumshitaki lakini hakuwahi kusema chochote!
Mwishoni mwa mwaka jana 2023, Chama chake kikamteua kuwa Katibu itikadi na Uenezi Taifa! Watu wakaona kama hakustahili!maneno yakawa mengi huko na huku wakakutana na aliyekuwa Mkuu wa wolaya kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam hadi aliwahi kumkalisha chini! ndiyo madaraka yalivyo ayajali umri!
Akamkuta ndiye ameshikilia kiti cha ukatibu Mkuu wa chama cha CCM ni Boss kweli! Tukapenyezwa kuwa Katibu Mkuu inaonyesha hapendi kufanya kazi na Makonda hata kwenye ziara za Mwenezi Katibu Mkuu haendi na hampi peza zakufanya mikutano lakini anashangaa kuona mambo yanaenda Paul anaendelea kufanya mikutano! Aikupita muda mrefu mitandao ya kijamii hasa X ukaibua kashifa za Katibu Mkuu akaamua kujiudhuru wadhifa wa katibu mkuu!
Ziara za Chiristian Paul Makonda zikashika moto nalianza kwa maagizo kwa Waziri mkuu watu wakashika vinywa!! lakini ndiyo hivyo,hakuishoa hapo na waziri wakawa wanapewa maagizo ya kero anazokutana nazo kutoka kwa wananchi! Nakweli kijana anafanyazi ya uenezi.
Kwa upande wangu niliona anachokifanya ni sahihi hii nchi inamatatizo makubwa sana wananchi wanateseka sana sasa Makonda ndiye amebaki kutatua kero za wananchi kana kwamba yeye ndiye Maakamo wa Rais au Ndiye Waziri Mkuu au naibu wake! Hadi kero za ardhi anatatua utadhani nchi hii aina mawziri husika!! Kwangu mimi hii nchi inahitaji watu kama Makonda.
Ukuangalia kwa undani style ya Makonda ni ya Hayati Magufuli kiutendaji kitu kimoja anatakiwa kukifanya nikujiepusha na ukatili dhidi ya wapinzani wake kwani hakuna kitu utamfanyia binadamu mwenziyo wewe ukabaki salama na hasa katika kazi za siasa kwani siyo za kudumu!Hivyo Makonda tutegemee kuwa katika nafasi ya Juu kiutendaji.
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020
Kwa Huruka yake unyanyasaji na ukatili kwa wapinzani na hadi kufikia kuvamia vituo vya Habari wote ni Mashaidi.
Akastaafu maneno ya kasemwa yeye akawa kimya hadi wengine walidriki kumshitaki lakini hakuwahi kusema chochote!
Mwishoni mwa mwaka jana 2023, Chama chake kikamteua kuwa Katibu itikadi na Uenezi Taifa! Watu wakaona kama hakustahili!maneno yakawa mengi huko na huku wakakutana na aliyekuwa Mkuu wa wolaya kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam hadi aliwahi kumkalisha chini! ndiyo madaraka yalivyo ayajali umri!
Akamkuta ndiye ameshikilia kiti cha ukatibu Mkuu wa chama cha CCM ni Boss kweli! Tukapenyezwa kuwa Katibu Mkuu inaonyesha hapendi kufanya kazi na Makonda hata kwenye ziara za Mwenezi Katibu Mkuu haendi na hampi peza zakufanya mikutano lakini anashangaa kuona mambo yanaenda Paul anaendelea kufanya mikutano! Aikupita muda mrefu mitandao ya kijamii hasa X ukaibua kashifa za Katibu Mkuu akaamua kujiudhuru wadhifa wa katibu mkuu!
Ziara za Chiristian Paul Makonda zikashika moto nalianza kwa maagizo kwa Waziri mkuu watu wakashika vinywa!! lakini ndiyo hivyo,hakuishoa hapo na waziri wakawa wanapewa maagizo ya kero anazokutana nazo kutoka kwa wananchi! Nakweli kijana anafanyazi ya uenezi.
Kwa upande wangu niliona anachokifanya ni sahihi hii nchi inamatatizo makubwa sana wananchi wanateseka sana sasa Makonda ndiye amebaki kutatua kero za wananchi kana kwamba yeye ndiye Maakamo wa Rais au Ndiye Waziri Mkuu au naibu wake! Hadi kero za ardhi anatatua utadhani nchi hii aina mawziri husika!! Kwangu mimi hii nchi inahitaji watu kama Makonda.
Ukuangalia kwa undani style ya Makonda ni ya Hayati Magufuli kiutendaji kitu kimoja anatakiwa kukifanya nikujiepusha na ukatili dhidi ya wapinzani wake kwani hakuna kitu utamfanyia binadamu mwenziyo wewe ukabaki salama na hasa katika kazi za siasa kwani siyo za kudumu!Hivyo Makonda tutegemee kuwa katika nafasi ya Juu kiutendaji.