Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
Chadema wamesema wanafanya maandamano ya amani yasiyokoma.
Swali kwa UVCCM wao wanapambana na chadema ki vip?, kwa amani au vurugu?. Ni nan ataleta vurugu hapo?. Wajipange kwa hoja bana!
Swali kwa UVCCM wao wanapambana na chadema ki vip?, kwa amani au vurugu?. Ni nan ataleta vurugu hapo?. Wajipange kwa hoja bana!