Leo Ripley A night club kwa nje zilipigwa ngumi kati ya vijana wa ccm na chadema baada ya vijana wa ccm kufika kufungua shina la wakereketwa jambo lililo waudhi baadhi ya vijana wa bavicha maana waliyo fungua shina niwenzao waliyo jitenga na shina lao OCD wa Arusha Mroto aliwahi nakuamua ugomvi na ccm kuendelea na zoezi lao
Katika mkutano wa hadhara ambao ulihutubiwa na mwenyekiti wa Uvccm wilaya na mwenyekiti wa mkoa pamoja na mtoto wa waziri wa maji maghembe kaulizao jumla ya yote mwenyekiti wa wilaya aliunga mkono polisi waliyonyanyasa vijana wa bodaboda wahamishwe Arusha mara moja kwakumwomba IGP au waziri ajaye wa mambo ya ndani
Mwenyekiti wa mkoa Sombetini tunaenda kushinda maana mgombea hana maadili kwenye jamii
Mtoto wa maghembe alisema kilimanjaro majimbo mawili ambayo chadema wanamiliki 2015 tunayarudisha yote
Jumla ya yote ni kuhamasisha vijana wajiunge na ccm na kujisajilikwenye vikundi wapewe mikopo na Halmashauri ya jiji maana pesa zipo
Katika mkutano wa hadhara ambao ulihutubiwa na mwenyekiti wa Uvccm wilaya na mwenyekiti wa mkoa pamoja na mtoto wa waziri wa maji maghembe kaulizao jumla ya yote mwenyekiti wa wilaya aliunga mkono polisi waliyonyanyasa vijana wa bodaboda wahamishwe Arusha mara moja kwakumwomba IGP au waziri ajaye wa mambo ya ndani
Mwenyekiti wa mkoa Sombetini tunaenda kushinda maana mgombea hana maadili kwenye jamii
Mtoto wa maghembe alisema kilimanjaro majimbo mawili ambayo chadema wanamiliki 2015 tunayarudisha yote
Jumla ya yote ni kuhamasisha vijana wajiunge na ccm na kujisajilikwenye vikundi wapewe mikopo na Halmashauri ya jiji maana pesa zipo