Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Na alaaniwe, damu iliyomwagika iwe juu yake pamoja na uzao yake!!
Haa! mbona bado! Mama Salma atatoa tamko kesho ndio mjue Tanzania ni nchi ya Kifalme.Ahahahah kweli hii Nchi hii tunahitaji katiba mpya kwa nguvu sana.Yani mtoto wa Rais anakuwa na madaraka yepi ya kutoa tamko kwa Taifa? Je watanzania wote ni members wa UV-CCM? Nchi hii mbona haieleweki?
Riz1 anaongea yeye kama nani? Wewe baba yako kututawala basi na wewe unataka kututawala. Kaa nyumbani kwako ulee familia yako achana na watanzania nyang..........weh!! Napatwa na kizunguzungu nikisikia habari ya huyu mtu. Wewe tukutane The Hague na mafisadi wenzako bila kusahau baba yako. Ulimbukeni utakuponza fi.........
HAPA CHINI NI MANENO ALIYO SEMA MKUU WA WILAYA YA MASASI KWENYE FACEBOOK;
Nape Nnauye
YAMETIMIA YALIYOTABIRIWA NA MABADILIKO YA BENDERA YA CHADEMA KUONGEZA RANGI NYEKUNDU KATI YA ZINGINE,KUMBE NDO ULIKUWA MWELEKEO?!
Maoni yenu tafadhali
mjinga ndiyo maana ametoswa na ccm
Niambie bendera ya Taifa kubwa dunia isiyo na rangi Nyekundu
USA, Russia, Japan, China, Uk etc Haka katoto kamalaya tena ka-kigay
Naangalia channel 10,namwona mtoto wa mkwere na kijakazi wake,wanatoa tamko la mauaji ya Arusha,naomba wasiwe biased,watoe pia tamko juu ya rada,kupanda bei ya umeme pamoja na malipo haramu ya dowans,mana waziri wao 6,ameshasema ni kwa mafisadi 3,..acheni unafiki,watz wa leo waelewa
Naangalia channel 10,namwona mtoto wa mkwere na kijakazi wake,wanatoa tamko la mauaji ya Arusha,naomba wasiwe biased,watoe pia tamko juu ya rada,kupanda bei ya umeme pamoja na malipo haramu ya dowans,mana waziri wao 6,ameshasema ni kwa mafisadi 3,..acheni unafiki,watz wa leo waelewa