Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Kuna tetesi kuwa, UVCCM wanaandaa maandamano ya kumpongeza kwa ujasili wake wa kuusaini mswaada wa kuanza mchakato wa katiba leo. Maandamano haya yatafanyika hapa DSM na mikoani, kwa hapa dsm inasemekana atayapokea mwenyekiti wa chama, jk mwenyewe.
more news to come!!!!
source....vigogo wa uvccm.
more news to come!!!!
source....vigogo wa uvccm.