Utumishi mnaita Interview watu 1045 kwa nafasi 5?

Post tu yenyewe ni kielelezo tosha cha mtu asiyejua alisemalo, hv ulifikiria kazi ya kuchambua cv za waombaji wote hadi kupatikana hao 1000 wenye sifa stahiki? Unapaswa kutambua kuwa kama hata wangeitwa watu laki moja ni kwa kuwa wote wametimiza vigezo na mahitaji ya kazi husika, kwa kuwa nafasi ni tano na watu wenye sifa ni 10000 basi ni lazima waitwe wote na kupimwa kwa njia ya usaili, na hii ndio njia bora isiyo na upendeleo..

Wengi wanaolalamika hapa ni wale waliozoea mteremko na kazi za kupeana kidugu ambzo hazitoi fursa sawa kwa waombaji wote.

Naipongeza sana time kwa kazi nzuri inayoganya


Ww hata kama unaipongeza tume ni kimpango wako, pia kaa ukijua sio kila mtu anapenda mteremko kama ww, hapa swala lililopo ni kwamba watu tunafanyishwa mitihan isiyokuwa na sababu hali wakijua kuwa tayari wanawatu wao hio sio haki hata kidogo hata mungu hapendi!!!!hebu fikiria unamtoa mtu mkoan kuja kumfanyisha mtihan usiokuwa na sababu afu mwisho wa siku hata hayo makaratas hamsahishi.kwa hili jaman mmechemsha tena sana huwez kumuwekea mtu maksi ya ajabu wakati yeye anajua alichojibu hakikuwa cha kupata maksi hiyo.ofcoz mm nilikuwa nafikiri tume hii huwa inafanya haki katika swala hili la ajira lakin nilikuwa cjawah kufanya nao mtihan na sasa yamenikuta ndio maana nasema kwa uchungu hapa hakuna haki yoyote.hivi mnafikiri tutaendelea kusema ndi mfumo wa nchi hii hata lini???ndio maana kila siku mabomu yanalipuliwa na watu wasiojulikana mnafikiri wametoka nje lakin ni wa humuhumu kwenye jamii wasiokuwa na kazi.


matumain yangu ni kwamba ipo siku kila idara na ofisi mbalimbali itashikwa na watu wanao penda haki na mabadiliko yatapatikana, mm na ww tujitahidi kuwa chachu ya mabadiliko na tuachane na kauli hii kwamba ndiomfumo wa nchi yetu ilivyo.cku zote kumbuka kuwa cheo ni dhamana tu.
 
Hujui ulisemalo wewe ndo mana unabwabwaja, na siku ukiona utumishi wameacha kufanya hii kazi ya kuinterview watu basi ujue watu kama wewe mtakaa sana mtaani! Mi naamini hukusoma, ila unatafuta wa kumrahumu tu..! Maandalizi ni muhimu sana kwenye interview za utumishi. Kuna jamaa zangu vipanga zaidi ya watano wamebaki kwenye hao waliofaulu hiyo interview na jana (jumatatu) walienda kupiga ile ya practical, sa unasema nini wewe? Watanzania mmezoea maneno, mkiwa shule mnacheza, kwenye interview mnataga!!!
Ww hata kama unaipongeza tume ni kimpango wako, pia kaa ukijua sio kila mtu anapenda mteremko kama ww, hapa swala lililopo ni kwamba watu tunafanyishwa mitihan isiyokuwa na sababu hali wakijua kuwa tayari wanawatu wao hio sio haki hata kidogo hata mungu hapendi!!!!hebu fikiria unamtoa mtu mkoan kuja kumfanyisha mtihan usiokuwa na sababu afu mwisho wa siku hata hayo makaratas hamsahishi.kwa hili jaman mmechemsha tena sana huwez kumuwekea mtu maksi ya ajabu wakati yeye anajua alichojibu hakikuwa cha kupata maksi hiyo.ofcoz mm nilikuwa nafikiri tume hii huwa inafanya haki katika swala hili la ajira lakin nilikuwa cjawah kufanya nao mtihan na sasa yamenikuta ndio maana nasema kwa uchungu hapa hakuna haki yoyote.hivi mnafikiri tutaendelea kusema ndi mfumo wa nchi hii hata lini???ndio maana kila siku mabomu yanalipuliwa na watu wasiojulikana mnafikiri wametoka nje lakin ni wa humuhumu kwenye jamii wasiokuwa na kazi.


matumain yangu ni kwamba ipo siku kila idara na ofisi mbalimbali itashikwa na watu wanao penda haki na mabadiliko yatapatikana, mm na ww tujitahidi kuwa chachu ya mabadiliko na tuachane na kauli hii kwamba ndiomfumo wa nchi yetu ilivyo.cku zote kumbuka kuwa cheo ni dhamana tu.
 
Hujui ulisemalo wewe ndo mana unabwabwaja, na siku ukiona utumishi wameacha kufanya hii kazi ya kuinterview watu basi ujue watu kama wewe mtakaa sana mtaani! Mi naamini hukusoma, ila unatafuta wa kumrahumu tu..! Maandalizi ni muhimu sana kwenye interview za utumishi. Kuna jamaa zangu vipanga zaidi ya watano wamebaki kwenye hao waliofaulu hiyo interview na jana (jumatatu) walienda kupiga ile ya practical, sa unasema nini wewe? Watanzania mmezoea maneno, mkiwa shule mnacheza, kwenye interview mnataga!!!

Unafikiri kati ya mm na ww nani hajasoma?????nenda kaanze nasary kwanza ukajifunze kutofautisha R na L hivi unafikir utumishi peke yao ndio waajiri hapa mjini waache wasiache mm hainisumbui kitu kwan sijaona faida yao labda utakula hasara ww.mm nimesoma si kama ww unayeandika ili uonekane na hao utumishi wakati huna lolote, unafikiri kuna mtu anayeenda kwenye mtihani bila kujiandaa labda ww unayetegea hongo ila wapo maskini wasioweza kutoa hongo kama wewe.hao utumishi wakiacha itakuwa afadhali ili tujue ili wawape recruitment zenye kutenda haki ziendeshe gurudumu.hakuna mtu alienda shule kutembea hapa kila mtu kasoma kwa shida na ana haki ya kupata kaz.
 
wat the *********** nime apply pspf kumbe nafas ni 3?mtoto wa waziri,mtoto wa director,wa mbunge,wa board member......nafas aziwatoshi hata wenyewe......nway ngoja tukapambane jumamosi
 
jamani kiukweli paper ilikuwa fair acheni lawana,tho na mm not selected ni maandalizi yetu duni tu...na kuitwa wengi sio tatizo ulitaka uitwe peke yako!! kila mtu akiapply kazi anategemea na anafurahi akiitwa...muhimu ni kuwa na sifa tu...atakayepita kwenye chujio lao bahati yake...

Unaonekana hujitambui..utaratibu wa kushortlist unategemea nafasi za kazi.kanuni za recruitment zinataka shortlist sio longlist ndio maana tunatuma CV ili waweze kupunguza watu..huwez kuita watu 1000 kwa nafasi 5,angalia resources wanazotumia kuita watu 1000,magari,wasimamizi wengi,usahishaji pia hauwezi kuwa effective kwa sababu ya number kubwa ya candidates vs wasahishaji wawili ama watatu,kwa hivo kuna uwezekano wakaachwa competent candidates....Hakuna ofisi nyingine yeyote yenye muda mchafu wa kuchezea hivo....sema utumishi wanajustify budget labda,na sitting allowance zao,na ajira zao
 
Unafikiri kati ya mm na ww nani hajasoma?????nenda kaanze nasary kwanza ukajifunze kutofautisha R na L hivi unafikir utumishi peke yao ndio waajiri hapa mjini waache wasiache mm hainisumbui kitu kwan sijaona faida yao labda utakula hasara ww.mm nimesoma si kama ww unayeandika ili uonekane na hao utumishi wakati huna lolote, unafikiri kuna mtu anayeenda kwenye mtihani bila kujiandaa labda ww unayetegea hongo ila wapo maskini wasioweza kutoa hongo kama wewe.hao utumishi wakiacha itakuwa afadhali ili tujue ili wawape recruitment zenye kutenda haki ziendeshe gurudumu.hakuna mtu alienda shule kutembea hapa kila mtu kasoma kwa shida na ana haki ya kupata kaz.
Ha ha ha ha ha ha ha! haya bhana! kwenye kabila langu hatutofautishagi R na L ndo mana nimeadhirika! By the way shule sisomi kwa kiswahili, ninasoma kwa kidhungu! Haya ndugu, kapitie tena IFRS yakwanza hadi ya 14 bila kusahahu IASs hadi ya 41, ISA kuanzia ya 200 hadi 800, na IPSAS then ndo uje tuongee. Bado uko mbali sana kijana wangu:heh::heh:
 
Imenishangaza sana kuona utumishi wanaita interview watu 1045 wakati nafasi walizotangaza ni 5 tu. Au ndiyo namna ya kuwazuga Watz? Inawezekana mna watu wenu, mnazuga ili kila mtu akikosa ajue kuwa tulikuwa wengi sanani halali kakosa?

Kwani kwa kawaida, kwa watu 5 ilitakiwa waitwe watu wangapi? Hata hivyo inawezekana utafiti unafanyika kwa nia ya kujua idadi ya wasio na kazi kwa maeneo hayo kwa kuwaona. Ni wazo tu.
 
Ha ha ha ha ha ha ha! haya bhana! kwenye kabila langu hatutofautishagi R na L ndo mana nimeadhirika! By the way shule sisomi kwa kiswahili, ninasoma kwa kidhungu! Haya ndugu, kapitie tena IFRS yakwanza hadi ya 14 bila kusahahu IASs hadi ya 41, ISA kuanzia ya 200 hadi 800, na IPSAS then ndo uje tuongee. Bado uko mbali sana kijana wangu:heh::heh:

Nikapitie ili nije nikufundishe au?haina haja kama vp shika kalamu na karatas nianze kukuelekeza:yell:
 
Ha ha ha ha ha ha ha! haya bhana! kwenye kabila langu hatutofautishagi R na L ndo mana nimeadhirika! By the way shule sisomi kwa kiswahili, ninasoma kwa kidhungu! Haya ndugu, kapitie tena IFRS yakwanza hadi ya 14 bila kusahahu IASs hadi ya 41, ISA kuanzia ya 200 hadi 800, na IPSAS then ndo uje tuongee. Bado uko mbali sana kijana wangu:heh::heh:

ndugu upo deep na izo ipsas na ifrs,kama module f umekatiza vile
 
Nikapitie ili nije nikufundishe au?haina haja kama vp shika kalamu na karatas nianze kukuelekeza:yell:
Haya nimeshachukua karatasi na kalamu unipe lecture...! Nikumbushe IAS 19 (Emproyee Benefits); Hasa yale mambo ya 10% corridor..! Am waiting....!
 
pspf wameita watu 2020 kwa nafasi sita, vitu vya kawaida... waliosoma wengi saiv, nafasi za kazi chache
 
Kikomelo....professional accountants don't behave like children...eti am ACPA,cjui IAS...wtf!...who does that
 
Last edited by a moderator:
Kikomelo....professional accountants don't behave like children...eti am ACPA,cjui IAS...wtf!...who does that
Nyani naye ana akili japo kuwa haelewi calculus, hatuwezi kusema calculus ndo yenye matatizo (haieleweki) bali akili ya nyani ni ndogo kuelewa calculus..............!!!!!!!
Ha ha ha ha!:nod::nod::nod::nod:
 
Nyani naye ana akili japo kuwa haelewi calculus, hatuwezi kusema calculus ndo yenye matatizo (haieleweki) bali akili ya nyani ni ndogo kuelewa calculus..............!!!!!!!
Ha ha ha ha!:nod::nod::nod::nod:

Hahaha...kaz kwelkwel
 
Back
Top Bottom