halafu kuna ile michezo ya kibabababa na kimama..... me nilikuwa napenda kuwa baba.......
dah! ucnikumbushe enzi hizo kwenye ma2ta 2liwagonga watoto wa2
halafu kuna ile michezo ya kibabababa na kimama..... me nilikuwa napenda kuwa baba.......
mimi nilikuwa naambiwa k inaitwa moto...... wakati wa kuoga naambia osha moto!
uking'oa jino lazima ulitupie juu ya bati... la sivyo hauta ota meno
ili uwe na meno meupe ukiona nyange nyange imba nyange nyange nipe meno meupe
Ukijambia kwenye kinu utaota mkia
uking'oa jino lazima ulitupie juu ya bati... la sivyo hauta ota meno