mandawa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 732
- 1,062
Waziri kasema Muziki unatumika kutangazwa maadili mema ya vijana... Ila lakushangza hata tuzo hazina maadili, maana wadada wanaleta tuzo amevaa nusu uchi.. Je haya ndio maadili mnayotangaza? 😁 😁Tuzo zinazotolewa muda huu kupitia UTV wapo live mgeni rasmi ni Mh, waziri balozi Pindi Chana.