Utoaji mimba

jino kwa jino

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
783
169
Wanajf salaam
kuna wimbi kubwa sana la utoaji mimba linaongezeka kwa fujo tatizo ni nini au tumekosea wap?
kuna rafiki yangu ni doctor maeneo ya kijitonyama/mwananyamala ananiambia kwa siku lazima atoe mimba 2 au tatu za wanafunzi wa secondary na chache wanafunzi wa vyuo anadai wale wa secondari zinakuwa kubwa hadi za miezi minne(kutokujijua), wale wa chuo wengi ni chini ya mwezi mmoja au miwili, huyu dr anafahamika sana kwa kazi hiyo.

jamani tufanyeje kupunguza haya mauaji ya watoto watarajiwa? tungesema elimu ya uzazi ifundiswe knye shule za msingi na sekondari itapunguza tatizo hili, je hao wa chuo wanaotoa mimba nao hawajui hii elimu!

maoni yangu: kama huwezi kujizuia kupata mimba bora usifanye NGONO au kubali kuzaa..... tumechoka na haya mauaji ya viumbe visivyo na hatia
TUKIAMUA Tanzania bila utoaji mimba inawezekana.
 
Kwanza ungemsema huyo rafiki yako aache kuwezesha tukio zima!!
Nwyz yote inatokea kwasababu watu wanafanya vitu ambavyo matokeo yake hawayataki!!!
Watoto wa primary tu wanafundishwa sasa unadhani wa secondary ndo hawajui???Wote wanajua
ila nadhani hua wahafikirii kwamba inaweza kuwatokea wao...na ikitokea ndo hivyo wanaona
wanayo alternative inayowafaa wao ambayo ni kutoa bila kufikiria hicho kiumbe wanachokitoa!!!!

Alafu we unauliza jinsi gani izuiwe wengine wanataka ihalalishwe:decision:!!Hiyo tabia haitaisha leo wala kesho.......
 
Huyo naona anatoa chache kuna mmoja pale manzese jamaa anatoa kama 30 kwa siku halafu ni fasta dk mbili na kutoka kama umekwenda kuandikiwa dawa na kuondoka. Na yule mwingine wa Kawe sijui kaacha siku hizi.

Mimi kiukweli sijui nini kinatokea aaahhh inauma kweli kweli jamani dunia imekwisha
 
Kwanza ungemsema huyo rafiki yako aache kuwezesha tukio zima!!
Nwyz yote inatokea kwasababu watu wanafanya vitu ambavyo matokeo yake hawayataki!!!
Watoto wa primary tu wanafundishwa sasa unadhani wa secondary ndo hawajui???Wote wanajua
ila nadhani hua wahafikirii kwamba inaweza kuwatokea wao...na ikitokea ndo hivyo wanaona
wanayo alternative inayowafaa wao ambayo ni kutoa bila kufikiria hicho kiumbe wanachokitoa!!!!

Alafu we unauliza jinsi gani izuiwe wengine wanataka ihalalishwe:decision:!!Hiyo tabia haitaisha leo wala kesho.......

huwa tunaongea nae friendly wakati tunapata moja moja navyomuona hawezi kuacha anasema ndiyo anategemea kuingizia kipato coz anatoa kuanzia 70,000/= hadi 200,000/= kutegemea na ukubwa akitoa mimba mbili au tatu kwa siku anaweza pata hata 400,000 kwa siku asipofanya hivyo mshahara wake kwa mwezi ni 850,000/= wap na wap labda serikal iboreshe maisha yao kwanza kimaslah then pawepo na sheria ya kuwabana hao madocta wanaotoa mimba!
 
Huyo naona anatoa chache kuna mmoja pale manzese jamaa anatoa kama 30 kwa siku halafu ni fasta dk mbili na kutoka kama umekwenda kuandikiwa dawa na kuondoka. Na yule mwingine wa Kawe sijui kaacha siku hizi.

Mimi kiukweli sijui nini kinatokea aaahhh inauma kweli kweli jamani dunia imekwisha


hili nalo ni janga la kitaifa
 
wanapata kwa sababu wanajua rafiki yako na wenzake wapo watatoa. Mwambie rafiki yako aache iyo kazi, mshahara mdogo sio kisingizio cha kuua viumbe wa mungu. Wakiacha wadada watakua makini.
 
ivi hizi kondom zinapenyesha au? Maana nafikiri kama zingekua zinatumika tatizo la mimba lingekua dogo sana
 
ivi hizi kondom zinapenyesha au? Maana nafikiri kama zingekua zinatumika tatizo la mimba lingekua dogo sana

kondomu siku hizi zinatumika kwa machangudoa wanaojiuza tu!(waliopo kazini by proffesional) kwa wanafunzu na wake za watu ni nyama kwa nyama
 
Watoa mimba sio wanafunzi pekee.. Kundi lingine ni walio ndani ya ndoa.. hao nao idadi yao ni kubwa. Hasa wale wanaoshika mimba kipindi kifupi baada ya kutoka kujifungua.
 
Huyo rafiki yako daktari ni wakala wa shetani na ni bora ukamshauri kuacha hizo atafute njia mbadala ya kupata mshiko.
 
Je kwa sasa hivi kutoa mimba ni kosa kisheria au ni halali?

Kuna ile Sheria ilisainiwa msumbiji Mwaka juzi, kuhalalisha utoaji mimba. je hapa Tanzania imepitishwa?
 
Mkuu inabidi kuanza na huyo rafiki yako na wengine wote wanaojulikana.... kwani tukiondoa possibilities za utoaji watu watakuwa makini na kuanza kutumia kinga.... huu ni upuuzi watu wanapenda starehe lakini matokea ya hiyo starehe wanajifanya hawayataki!!!
 
Mkuu inabidi kuanza na huyo rafiki yako na wengine wote wanaojulikana.... kwani tukiondoa possibilities za utoaji watu watakuwa makini na kuanza kutumia kinga.... huu ni upuuzi watu wanapenda starehe lakini matokea ya hiyo starehe wanajifanya hawayataki!!!

nakubaliana nawe Babu Lao....step by step we will make a difference.....hao watoaji wasingekuwa wanatoa hiyo biashara isingefika hapo ilipo......watu wenye serious health problems ndo wawe tu wanaruhusiwa.....:hand:
 
Mkuu inabidi kuanza na huyo rafiki yako na wengine wote wanaojulikana.... kwani tukiondoa possibilities za utoaji watu watakuwa makini na kuanza kutumia kinga.... huu ni upuuzi watu wanapenda starehe lakini matokea ya hiyo starehe wanajifanya hawayataki!!!

wk end nitakuwa nae nitajaribu kumshawishi kuacha hyo bsness
 
Mhh!! kutoa mimba ni uuaji mkuu!! sijui Mungu atatoa hukumu gani kwa watu wanaotoa mimba!
 
Back
Top Bottom